Recent content by wauswaz

  1. wauswaz

    Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

    Mpaka leo na rebo yake inaitwa kazi kwanza ( masiga )
  2. wauswaz

    Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

    Umo ndani kashilikiswa ommy g luteni wakati anaingiza verse alichemka kama mara kumi ivi adi mastar j akamtaka aje kuludia siku nyingine kwa sababu tulikuwa tunawai kwenye lieso ya summer jum mwaka 2001 ambayo siku izi ndo inaitwa fiesta
  3. wauswaz

    Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

    Jose mtambo kaanza kabra ya wote uliowataja apo.
  4. wauswaz

    Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

    Kwenye album ya kwanza umesahau ngoma inaitwa MTU BEE. Iyo ngoma wakati inalekodiwa mi nilikuwepo ndani ya studio imefanyika kwa mastar j. Na tukachukua ngoma aliyofanya na mr. Poo inatwa buzi.
  5. wauswaz

    Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

    Nyimbo iliyomtoa nesha ni ya mabaga fresh. Inaitwa mtulize kipindi icho juma nature ana nyimbo yake ata moja wakati uwo haruna ameshaiti na ngoma ya ngangari.
  6. wauswaz

    Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

    Awo wote wawili nawajua toka wanaanza mziki. Kwa kifupi wewe ndo umewajua juu juu tu
  7. wauswaz

    Tujikumbushe enzi za ufalme wa Inspector Haroun

    Jamaa aritangulia kupata u STAR nature alifuata badae
  8. wauswaz

    Nauza bata aina ya pekin

    Uwezi kupata kwa bei iyo musipende kutete oja zenu kwa vitu musivyovijua. Kama ujalizika na bei yake kaa kimya.
  9. wauswaz

    Huyu ndiye Hashim Dogo, Msanii bora wa Hip Hop Afrika

    Amevaaa gwanda mziki kaweka pembeni
  10. wauswaz

    Naomba kujuzwa namna ya kuweka kwenye PS3 ISIYOCHIPIWA

    Mambo yaendeleee hapa kwa faida ya wengine
  11. wauswaz

    Daah! Anavaa sponji(kigodoro) makalioni...

    ndo mikato yao ya sasa
Back
Top Bottom