Jaman wana jamvi ilitokea kama mwaka mmoja uliopita nilipata kujuana na mschana fulani ivi akawa rafik yangu tunachat kama marafiki wakati uo uo mimi ni gf wangu ambae nampenda sana na yeye unanipenda mno lakini sasa kadiri nilivokuwa naendelea na kuchart nae ukaribu ukaanza kupita mipaka lakin...
Wana jamvi,
Nina mschana ambae alikuwa na jamaa yake huko nyuma sasa ikatokezea wakaachana ila mimi nilikuwa sijui kama wameachana na kama ana mtu nilimfuatilia mschana yule kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu mpaka akaingia line,tunaanza maisha ya kama bf na gf tumedumu kwa zaidi ya mwaka now...
Mtoa mada unashindwa hata na kibabu?
Yeye ametokea huko huko na ameona kabisa sisiem mwaka huu kifo cha mende we bado tu unaendelea kuifagilia!!
Ivi kati ya magufuli na Lowasa Nani ana Sera bora kuliko mwenzake!!
usiandike vitu kama mjinga usie na akili tumia akili yako vizuri.
Iyo ni kwel hata mimi mwenyewe nimehangaika na iPhone 5s yangu nilinunua USA iko locked mpaka nikaongea na apple wenyewe wakaikataa wqkasema haiwezekani mpaka mwenye simu aifungue.
So haiwezekani iyo mambo kabisa.
Fundi ambae atakwambia anaweza kutoa iyo lock ujue aidha anataka tu kukulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.