Kasi ya CCM haizuiliki

Kasi ya CCM haizuiliki

Kwa kweli ccm tunatumia sana nguvu kumnadi mgombea wetu. Hauziki hata kidogo yeye naye kazi yake comedy tu majukwaani. Lowassa kama Messi haziliki.
 
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.

hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!

Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.

Kwanza hapo ulipo hamna mgao wa umeme???

Bila wasanii makufuli kwisha kazi!!
 
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.

hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!

Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.


Mtoa mada unashindwa hata na kibabu?
Yeye ametokea huko huko na ameona kabisa sisiem mwaka huu kifo cha mende we bado tu unaendelea kuifagilia!!
Ivi kati ya magufuli na Lowasa Nani ana Sera bora kuliko mwenzake!!
usiandike vitu kama mjinga usie na akili tumia akili yako vizuri.
 
Hata mtoto mdogo haitaki CCM ukibisha pita nursery skul uulizie
 
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.

hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!

Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.
Vijana CCM, wazee CCM, watoto CCM,Ushindi mnono
 
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.

hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!

Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.

Huenda kasi unayoizungumzia kwa CCM, ni kuelekea kwenye kuanguka au kupoteza uchaguzi mkuu wa oktoba 25, 2015. CCM wanakwenda kwa kasi ya ajabu kupoteza viti vingi vya udiwani, ubunge pamoja na urais.
 
Maghufuli hata wasipompingia kura atakuwa rais wa Tanzania kwa lazima hatuwezi kumpa nchi MTU ambaye hayuko physically and mentally fit.

Mtakutana na nguvu yauma!,harafu watanzania waleo huwezi ukatutishia mjusi,nenda kamtishie hawara yako.
 
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.

hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!

Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.

Hauna lolote lakusema kaa kimia na rudi uwani na jipange upya. Nchi ipo gizani una kazana kampeni zipo safi za mgombea wenu. Mbona nikama husomi nyakati. Acha ushabiki na huu ushabiki ndo uliotufikisha hapa.
Ambocho ccm hamjui ni kwamba swala sio mgombea wenu wala wa UKAWA, hapa tunahitaji mabadiliko ya kimfumo. Juweni kwamba mfumo wa ccm tumeucho twahitaji kuona watu wengine wapya watakao kuja ma mfumo mpya tofauti na tuliouzoea wa ccm. Kwa ufupi nikwamba, watanzania walio wengi, waichoka ccm na ndo maana inaelekea kuanguka.
Hongeni watu elf tano au kumi ili waje kwenye kampeni zenu, ila wana sema "kula na ccm na kura ni kwa UKAWA." Kwahio musijidanganye muta aibika mwisho wa siku. Viva chadema, viva UKAWA na viva Lowassa!
 
Back
Top Bottom