Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Kwa kweli ccm tunatumia sana nguvu kumnadi mgombea wetu. Hauziki hata kidogo yeye naye kazi yake comedy tu majukwaani. Lowassa kama Messi haziliki.
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.
hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!
Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.
Chagadema Kwisha habari yao.
Kwa kweli ccm tunatumia sana nguvu kumnadi mgombea wetu...
Unabadilika kama kinyonga.Kushabikia CCM ni sawa na kusubiria Treni ya kwenda Zanzibar.
Umeandika nini sasa? Jifunze kujenga hoja kijana
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.
hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!
Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.
Vijana CCM, wazee CCM, watoto CCM,Ushindi mnonoMwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.
hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!
Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.
hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!
Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.
Maghufuli hata wasipompingia kura atakuwa rais wa Tanzania kwa lazima hatuwezi kumpa nchi MTU ambaye hayuko physically and mentally fit.
Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita na kunadi sera zenye nia thubutu za kuwaletea watanzania maendeleo yaliyo kweli na ya uhakika na kwa wakati muafaka.
hii ndyo sababu kubwa inayompa Magufuli kiki ya kushika dola tofauti na mpinzani wake ambae ameonekana hana sera za kuwaletea maendeleo!
Chagua Dr John Pombe Magufuli kuwa rais wa awamu ya 5 kwa maendeleo ya haraka.
Hapa kazi tu siyo wagonjwa ikuru haendi mgonjwa wala fisadi
CCM hadi raha