Yeye nampenda lakini SMS wanazotumiana hapana

Yeye nampenda lakini SMS wanazotumiana hapana

waukweli12

Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
11
Reaction score
5
Wana jamvi,

Nina mschana ambae alikuwa na jamaa yake huko nyuma sasa ikatokezea wakaachana ila mimi nilikuwa sijui kama wameachana na kama ana mtu nilimfuatilia mschana yule kwa zaidi ya mwaka mmoja na nusu mpaka akaingia line,tunaanza maisha ya kama bf na gf tumedumu kwa zaidi ya mwaka now tangu niwe nae kwenye mahusiano siku moja aniambia background yake kama alikuwa na mtu lakini waliachana lakini kumbe yule mjamaa huwa siku moja moja anatumia SMS kuwa amemmiss nk.Siku moja nikajitoa ufahamu nikaichukua simu yake nikasoma text za yule mjamaa kumbe huwa wanachart na jamaa huwa anamkumbushia mambo ya nyuma.

Me naomba mnisaidie wanajamvi maoni yenu.
1)Je iyo ina maana uyo mschana bado anampenda uyo jamaa?
2)ni sahihi kwa mschana kuwa katika uhusiano mwengine mpya na stil kuwa namazungumzo ya simu au messeji na boy friend wake wa zaman?

Nahitaji msaada jamani sio msaada wa matusi unahitaji ushauri.

Asanteni
 
Hahahahahahahahaha.....mkuu hapo hakuna namna kama una roho ngumu unaweza kuendelea nae lakini watu wenye roho nyepesi hapo lazima kinachofata ni kumuacha lakini ukisubiri siku anakuwahi yeye utakuja tena hapa Jf jukwaa la MMU kuomba ushauri kipindi stress zimekujaaaa
 
Wana jamvi Nina mschana ambae alikuwa na jamaa yake huko nyuma sasa ikatokezea wakaachana ila mimi nilikuwa sijui kama wameachana na kama ana mtu nilimfuatilia mschana yule kwa zaid ya mwaka mmoja na nusu mpaka akaingia line,tunaanza maisha ya kama bf na gf tumwdumu kwa zaid ya mwaka now tangu niwe nae kwny mahusiano siku moja aniambia background yake kama alikuwa na mtu lakini waliachana lakini kumbe yule mjamaa huwa siku moja moja anatumia SMS kuwa amemmiss nk.
Siku moja nikajitoa ufahamu nikaichukua simu yake nikasoma text za yule mjamaa kumbe huwa wanachart na jamaa huwa anamkumbushia mambo ya nyuma.
Me naomba mnisaidie wanajamvi maoni yenu.
1)Je iyo ina maana uyo mschana bado anampenda uyo jamaa?
2)ni sahihi kwa mschana kuwa katika uhusiano mwengine mpya na stil kuwa namazungumzo ya simu au messeji na boy friend wake wa zaman?
Nahitaji msaada jamani sio msaada wa matusi unahitaji ushauri.
Asanteni

wakichart graph kunashida gani?
 
Wanakumbushana kwa meseji,watakumbushana kwa vitendo. Akili kumkichwa,kimbia kabla hujaumia.
 
Kuwa na amani,huyo msichana wako huwa tunawasliana nae kwa mambo ya kawaida tu.
 
Mwambie kua hutaki afanye mawasiliano na ex wake pia mbadilishie namba....
 
Hapana bhaana inategemeana na MTU na MTU mi x wng ni rafiki yng,kaka yng pia n msaada wng na mshauri wng Wa karibu saaana na hatuna mpango Wa kupasha kiporo...chukulia poa tuuu
 
Kama hupendi anachokifanya mweleze,,,,,,hapo ndipo utajua kama anakupenda au la! Kama hakupendi jua mwisho wenu utakuwa umekaribia
 
Back
Top Bottom