kuna wasanii kama AY ye ashinde au ashindwe waTZ wote tunampa big up coz anajiheshimu na kuheshmu wengne lakini ndomo tunafurahi akianguka sababu ya shauzi zake,mwanzoni nlimpenda sana diamond ila kadri siku zinavyoenda ndo namchokaaaaa...
ni either unampenda sn mkeo au unamuogopa,mpe makofi mawili tu afu mwache alieeee hadi alale afu akiamka mwambie achague kati ya ndoa ili abaki au x wake ili umrudishe kwao,km anataka kubaki mnyang'anye simu yenya access na mtandao af mnunulie kitochi ht kwa mwezi tu akili itasogea
NB.baada ya...
nakumbuka sana tabora girls nlipokuwa form2 tuliwazomea milambo kwny mechi kesho yake ilikua jmoc wakatulipizia wakatualika disco afu wakawa wanacheza na wadada wa mtaani luckily j2 kukawa na joint mass kwetu basi watu wakaandaa timu ya kuzomea yani walizomea balaa,usku sasa milambo walitembeza...
mi niko tofauti kidogo,ndoa nyng zinazovunjika ni zile za party kubwa regardles mmeishi miaka mingi au ndo mmekutana hapo kuna mawili..Either kufuru ya ndoa yenu imewahuzunisha watu hasa wasio nacho au kuna mkono wa mtu hasa kwenye zawadi tupewazo tuwe na utaratibu wa kuziombea kabla ya...
uspende kuanika mambo ya ndoa ipo siku utaambiwa mambo ya kukutoa roho,...uhusiano wa jinsia tofaut mara nyng huishia pabaya,mkanye mkeo na umfatilie coz wengi huwa tunachukia tukiambiwa ukweli japo mara nyngi huwa yanakuja kutokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.