Maneno haya siyapendi...!!

Maneno haya siyapendi...!!

Ujinga ni kuamini simu ya mkeo haikuhusu.


Sent from my iPhone using JamiiForums app

mimi simu ya mwanamke hainuhusu na wala sina time nayo. niliomba kibali serikalini kumiliki silaha kwa ajili ya self defense na siyo kuulia mke au kujiuwa mimi mwenyewe.
 
mimi simu ya mwanamke hainuhusu na wala sina time nayo. niliomba kibali serikalini kumiliki silaha kwa ajili ya self defense na siyo kuulia mke au kujiuwa mimi mwenyewe.

Mmmh, hata kama unasikia vi text message vinaaingia usiku wa manane mkiwa mmelala, busy na watsappp kama kuna mashindano. Mara mtu kapiga simu tano usiku, anaenda kuongelea bafuni, anarudi, still you don't give a ---- on that? really?...u gotta be kiddin man.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
achana na cm ya mke wako.chunguza tu endapo ww ni malaika
 
Mmmh, hata kama unasikia vi text message vinaaingia usiku wa manane mkiwa mmelala, busy na watsappp kama kuna mashindano. Mara mtu kapiga simu tano usiku, anaenda kuongelea bafuni, anarudi, still you don't give a ---- on that? really?...u gotta be kiddin man.


Sent from my iPhone using JamiiForums app

huyo hawezi kuwa mke ni changudoa, hapa naongelea mke.

msidhani kila mwanaume ambaye yuko single ni kwamba hapendi kuoa au hajui kutongoza au abandui, kuoa mke ni zaidi ya kutafuta k ya kuiweka ndani na kubanduwa.
 
Mrejesho:
kama nilivyohaidi jana kumuuliza katika hali ya kawaida bila kuonyesha machokukizo na hasira, wife akasema huwa wanaitana yale majina eti kwa sababu tu huyo jamaa ni workmate mwenzake huwa anafupisha tu na yeye ndiye alianza kumwita huyo jamaa ila hawana lolote baya na ndoa yetu iko salama nisiwe na hofu.
Ila nikampa caution kwamba ni mazof mabaya na huenda jamaa akatumia udhaifu wake kupata kile anachokitaka kwani siku zote wanawake wanaonekana kama viumbe dhaifu sana na ni watu rahisi sana kudanganywa kwa maneno matamu kama hayo.
Halafu leo pia kahaidi kwenda kumkanya na kajikanya yeye mwenyewe kutorudia kutumia maneno hayo.
 
Watu kukimbia matatizo! Ni lazima ujiridhishe mara moja moja kwa phone ya mkeo ukiipatia nafasi.
Sina muda huo,akiamua ku cheat anaweza akaniachia simu nishinde nayo na akamega vile vile!!
Sichungi mtu mzima mwenye akili zake timamu mie!!!
 
uspende kuanika mambo ya ndoa ipo siku utaambiwa mambo ya kukutoa roho,...uhusiano wa jinsia tofaut mara nyng huishia pabaya,mkanye mkeo na umfatilie coz wengi huwa tunachukia tukiambiwa ukweli japo mara nyngi huwa yanakuja kutokea
 
Kawaida?....

wewe jamaa una hatari sana
 
Back
Top Bottom