Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,784
- 11,801
Mbona ni kitu cha kawaida kabisa
wacha wee, kwahyo ulikua unamsaidia kumsugua mgongon au?
Hapana mi naoga naishia zangu namuacha bado anakomaa kusugua miguu,akimaliza
anasugua na malapa yake akiingia sa mbili kutoka ni sa tano
Kazi nyingine anafanya taratibu hivyo hivyo au ni kuoga tu?!
Kazi zingine kama zipi na nimesema ni bibi angu
Kazi nyingine anafanya taratibu hivyo hivyo au ni kuoga tu?!
Watu wazima kuoga pamoja? Mtakuwa mmekutana wapi? Mie nina aibu sana. Siwezi.
Wewe ni askari nini?
Tunaoga tu sema siku hizii unaweza tamaniwaa na mwanamke mwenzio duniaa imeishaa