je tukikuambia kila kitu tatizo ni kipofu ...sasa kama jina la yesu lina nguvu hatujakataa mbona kaja halafu hamjamkubali ? kaja na jina jipya ka update oya karibu katika ufalme wa Mungu .....jina jipya la kristo ni Olumba Olumba Obu
wangetoka wanatusumbua sana hawa ndio watu wabaya sana wapo wanatype hamasisha wao wapo mageto wana kaz zao nzuri tu wanataka wasaka tonge wakose wafe kwa mwavuli wa haki? kupigania haki haki ipi?
Kila sehemu kuna Ishara lakini watu hawataki kuona wala kusikia mpaka mwisho so sio wakati wa jokes binadamu ujue wako busy na kufukuzana na panya wakati nyumba inashika Moto ...
GREAT MINDS DISCUSS GREAT IDEAS ....
Kuna mambo tunashindwa hata kuandika humu kwenye jukwaa kwa sababu wengi wao hawajui wala watakuona umechanganyikiwa ivyo ni bora ubaki kimya tu halafu ujiandae kivyako vyako . huuu sio wakati wa siasa kama binadamu wangejua ooh kinachokuja kikubwa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.