Recent content by wasumu

  1. wasumu

    Serikali na wananchi tunapataje kupona ? Kutoka tena kwenye umwagaji damu na majanga yote

    Ccm ni watu polisi ni watu wanatokaje hao hao ndio watatumika nyakati nyingine na zama nyingine muhimu upendo amani viwepo tusiende shimoni .....
  2. wasumu

    Serikali na wananchi tunapataje kupona ? Kutoka tena kwenye umwagaji damu na majanga yote

    wewe unafikiria dunia ipo kama zamani? du sio kila mwenye macho anaona na mwenye masikio anasikia
  3. wasumu

    Serikali na wananchi tunapataje kupona ? Kutoka tena kwenye umwagaji damu na majanga yote

    Kwa ufupi serikali na watu wote inabidi waishi kwa upendo na amani na kubwa zaid wajue sasa hivi kuna mamlaka kubwa kuliko mamlaka zote duniani mfalme wa wafalme Serikali ya Tanzania ina ubalozi wake nigeria kwa kujua hilo mbona mnashindwa kwenda kupata suluhisho ya haya kwa mamlaka kuuu...
  4. wasumu

    PostGE2025 Ushauri: Rais, ili kuepusha ‘D9’ kuwa siku ya damu na kuanguka kwa uchumi, zingatia haya manne

    mbona rahisi sana yaaan kwa watu wasifanye machafuko wala kuandamana ni kwa mamlaka kutambua huu wakat gani wajisalimishe kwa mamlaka kuuu kuliko zote kama kuna mtu yupo jiran tu na yeyote aliyepo jiran na Rais anitafute dm .... .....nitawapa siri hii ....
  5. wasumu

    Ulishawahi kutokewa na nguvu ya ajabu ambayo mpaka leo hujawahi kuielewa na wala huwezi kuielezea vizuri?

    iyo ndogo niliota nchi nzima damu mwez mmoja kabla ya maandamano siku moja kabla nikaota watu wanapigwa risasi ninaowafahamu kwa ndoto
  6. wasumu

    Mpenzi wangu kanishtakia kuwa kapigwa mikanda na mumewe. Nichukue hatua gani?

    mke wa mtu sumu kifo kinakuhitaji anyway kipofu ni kaz sana kumwambia jua jinsi lilivyo
  7. wasumu

    Hakuna raha inazoizidi ya kupata demu kanisani au msikitini

    mzinifu ni maiti inayotembea hakuna uafadhali hata pale unapo xxxx
  8. wasumu

    Kwa Wasabato tu na wenye Fikra Huru

    Mungu yuko Afrika Kwa jina jipya, Olumba Olumba Obu. Kwa nini usije ujionee mwenyewe? Acha, acha kuwasikiliza watu, njoo ujionee mwenyewe, njoo Cross River, Calabar, Mtaa wa 34 Ambo, na uone kama yale wanayokuambia kuhusu Olumba Olumba Obu na Kristo wake ni kweli. Njoo kwenye makao makuu yetu...
  9. wasumu

    Kitimoto inaliwa na wenye pesa tu!

    food is poison
  10. wasumu

    Kitimoto inaliwa na wenye pesa tu!

    WAIT AND YOU SHALL SEE
Back
Top Bottom