Recent content by WASIWASI

  1. WASIWASI

    KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

    Vip mzee hali ya kisiasa Meru huko?
  2. WASIWASI

    Tukuiachana na mahubiri kupigwa marufuku kwenye mabasi ni kero gani nyingine zinazomkabiri abiria?

    Zile movie na miziki kwenye basi imekua tatxo hawangalua inatakiwa iangaliwe na watu wa umri gsni...unakuta mtu upo ma watoto lakini wanachoonosha kina enda kinyume na umri ulioruhusiwa kuona
  3. WASIWASI

    Hadithi: Mwekanadhiri na shetani

    Kwa kumbukumbu zangu tafuta kitabu cha kiswahili darasa la saba mtaala wa miaks ya 90s....sehemu ya tatu alienda kwa mtabiri wa malimwengu akashauriwa arudi tena msituni huko shetani alimwambia awape marafiki zake ...aliporudi kwa mtabiri akamwambia marafiki wa shetani ni wezi na wanyang'anyi so...
  4. WASIWASI

    Hadithi: Mwekanadhiri na shetani

    Hii simulizi ilikua kwenye kitabu cha kiswahili shule ya msingi miaka 90s....
  5. WASIWASI

    Kwa sasa, mita nyingi za Luku zinaondolewa Tariff Zero

    Nilikwenda office za tanesco baada ya kufungiwa umeme kuuliza kuhusu tarif zero walijibu hiyo tarif kwa sasa haipo wameifuta
  6. WASIWASI

    Niulize chochote kuhusu Nyuki na Asali

    Kuna aina ngapi za stingless bees?
  7. WASIWASI

    Mbona foleni zimezidi?

    Hali ni mbaya sana Bagamoyo Road.
  8. WASIWASI

    Polycarp Pengo hajamuandaa askofu Ruwa'ichi alipokuwa seminari. Aliyemuandaa Ruwa'ichi ni padri Cyprian Tirumanywa wa jimbo kuu la Mwanza

    Kuliwahi kua na askofu mkerewe tatizo hujui historia , unamkumbuka askofu Fortunatus Lukanima?
  9. WASIWASI

    Polycarp Kardinali Pengo atajiuzulu dakika yoyote kuanzia kesho

    Acha uongo Pope wa sasa aliingia akiwana 78yrs na ikumbukwe pope anachaguliwa na cardinal wenye umri chini ya 80yrs
  10. WASIWASI

    Kwanini bia ya Castle milk stout imeadimika?

    Mbona ipo kibao huku boko? Au wewe upo boko ipi?
Back
Top Bottom