Habib Mnyaa enzi hizo akiwa kwenye ubora wake pale CUF aliwazungumzia vizuri Hawa Economic hitman, ilikuwa wakati wa ESCROW debate pale bungeni Spika akwa ANNA MAKINDA
Iringa Mbeya Ruvuma na Rukwa enzi za awamu ya kwanza na ya pili waliitwa The big four Kwa kuongoza kwa uzalishaji wa nafaka .
JK alitaka na Morogoro iongezwe kwenye list sijui hata plan iliishia wapi.
Hao jamaa wakicheleweshewa mbolea inakuwa sawa na kupishana na gari ya mshahara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.