Ninaanza pia intermediate na ninafikiria kufanya na covenant online lakini Sina idea ya wapi pa kuanzia. Ninaomba kama hutamind unisaidie number yako PM tuwe study mates.
Habari, nina BBA Accounting nilikua nahitaji kufanya CPA, lakini kwa muda nimekuwa nikikutana na ushauri tofauti kuwa ACCA ni nzuri zaidi ya CPA bila maelezo maalum. (Ninaomba maelezo juu ya hili)
2. Pia ninauliza kwa centre nzuri Arusha kwa ajili ya CPA ni ipi? Na kama ninaweza kupata tutor...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.