Recent content by warda masoud

  1. W

    Maono: Namuona Tundu Lissu akiachana kabisa na siasa na kujielekeza kwenye kazi ya Mungu!

    hahaha msijifanye hamuwajui wauwaji atakapotajwa bashite akili itawakaa sawa
  2. W

    KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu

    ilibidi aseme nini labda kanumba alikuwa anampasua mara kwa mara ., mi nimemuelewa
  3. W

    Lulu Michael Mahakamani tena kwa kesi ya mauaji ya Kanumba

    atakuwa kapten kombba ndo alipigga...........
  4. W

    Sitaruhusu mke wangu kumiliki smartphone...

    haha kwa kuangalia miaka niliyoishi humu jf utajua tu hizo thread nishazisoma muache mkeo amiliki simu ya kupapasa kama ni malaya i malaya tu hata umfungie ndani haitakusaidia
  5. W

    Sitaruhusu mke wangu kumiliki smartphone...

    wababa zetu walikuwa na simu za kukoroga lakini wamama walikuwa wanachepuka usisingizie smartphone
  6. W

    Sitaruhusu mke wangu kumiliki smartphone...

    hili li user name la huyu jamaa mpeni life bana banaa
  7. W

    RC Dar Es Salaam amepokea magari 17 kati ya 28 ya Jeshi la Polisi yaliyokuwa yakifanyiwa maboresho Moshi

    wana lumumba bana hivi tangu lini ccm iliwahi kamata mafisadi haiwezi sababu ufisadi mwingi sana unafanywa na ccm na mafisadi woote chimbuko lao ni ccm mahaama ya ufisadi saa hizi nahisi wanafugia kitimoto
  8. W

    Mahakama kuu imesema msanii Elizabeth Michael (Lulu) ana kesi ya kujibu

    hapana hakuwa naye mpaka anakata roho acha uongo
  9. W

    Maimartha wa Jesse ameweka majibu yake ya UKIMWI hadharani

    wee wema ana zaidi ya salasini halafu umri wa hospitali magumashii mi naandikaga uongo kila leo
Back
Top Bottom