haha kwa kuangalia miaka niliyoishi humu jf utajua tu hizo thread nishazisoma muache mkeo amiliki simu ya kupapasa kama ni malaya i malaya tu hata umfungie ndani haitakusaidia
wana lumumba bana hivi tangu lini ccm iliwahi kamata mafisadi haiwezi sababu ufisadi mwingi sana unafanywa na ccm na mafisadi woote chimbuko lao ni ccm mahaama ya ufisadi saa hizi nahisi wanafugia kitimoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.