Yaani utajua kuwa hujui !!!
huyu kiumbe ndo atakae mpeleka jela mazima mheshimiwa sana..
Kwasasa sabaya amepumzishwa tu.. hatamaliza kifungo tajwa.
Ila atakapo kuwa huru ndipo atafungwa maisha baada ya kuona kipenzi chake kimetwaliwa ndipo atafanya la kufanya na hapo ndo atakapo fungwa kiukwel...
Unatazizo la kufikili...
Ungetambua hawa unaowaongelea ni watu wanaotoka kwenye jamii yetu hii inayotuzunguka usingeandika utumbo..:
Pengine kwenye ukoo wako kuna Askari japo mmoja asa hutaki anunue nguo wakati ndo hizohzo zinazouzwa Tanzania...
IST ni gari inayo hitaji budget ndogo kwaajil ya...
Kuna dogo mwaka jana alifungua account kwa leo la kuomba AVN number lakini hakupata na mwaka huu amejaribu kulog in amejikuta amesahau username na password..
Naomba msaada jinsi ya kureset maana kila tiki jarib I kuanza upya inaonekana tayari kuna account yake amesahau username na password...
Wakuu poleni kwa majukumu bila shaka mnaendelea na majukumu ya kila siku.
Kuna mdogo wangu ana Diploma ya information technology (IT).
Naomba kuuliza kama kwa diploma hyo anaweza soma bachelor of science in health information system.
Natanguliza shukurani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.