Kama wewe ni mke wa mtu, acha pombe

naanzaje kuwa na mwanamke mnywaji pombe wakati hizo soda tu niliachaga kunywa kitambo sana....kuna mke wa mtu aliwahi kuniambia anataka kuja ghetto kwangu lakini nihakikishe nimemuandalia 'Wine' ...japokuwa sifahamu hata kwa chupa tu inafananaje lakini nilijiuliza sana kwanini achague hicho kilevi,nilikuja kujua baadae sana kama inaongeza ashki kwa mnywaji
 
naanzaje kuwa na mwanamke mnywaji pombe wakati hizo soda tu niliachaga kunywa kitambo sana....kuna mke wa mtu aliwahi kuniambia anataka kuja ghetto kwangu lakini nihakikishe nimemuandalia 'Wine' ...japokuwa sifahamu hata kwa chupa tu inafananaje lakini nilijiuliza sana kwanini achague hicho kilevi,nilikuja kujua baadae sana kama inaongeza ashki kwa mnywaji
 
Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.

Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!

Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana

Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.

Uzi tayari
SISI WANAUME HATUPENDI WANAWAKE/WAKE ZETU WAENDE BAR LAKINI TUNATAKA TUKIENDA BAR TUWAKUTE WANAWAKE😊😊
 
Ni hatari sana mwanamke kuwa mlevi,
Màana Sina hakika wakati wakunyanduliwa Kama atakumbuka Kinga zaid ya kuuza mechi
 
Mtalaumu pombe bure tatizo ni mtu mwenyewe....binafsi mm Huwa na KIPIMO changu...Huwa sizidishi....pombe zinalaumiwa bure....
 
Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.

Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!

Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana

Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.

Uzi tayari
Haisaidii, omba upewe mke mwenye hofu ya Mungu tu.Mengine ni mbwembwe tu, agiza kongoro tukulipie
 
Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.

Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!

Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana

Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.

Uzi tayari
Mdada akishabugia WINE, KONYAGi au K-VANT ya kutosha, yy ndo anakuwa mtongozaji, na anakuwa tayari kwa shoo, hakuna haja ya maandalizi😋
 
Wanaume hatutaki wanawake wanaoenda Bar,ila tukienda bar tanataka tuwakute wanawake
 
Back
Top Bottom