Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,509
Ujumbe mzuri.
naanzaje kuwa na mwanamke mnywaji pombe wakati hizo soda tu niliachaga kunywa kitambo sana....kuna mke wa mtu aliwahi kuniambia anataka kuja ghetto kwangu lakini nihakikishe nimemuandalia 'Wine' ...japokuwa sifahamu hata kwa chupa tu inafananaje lakini nilijiuliza sana kwanini achague hicho kilevi,nilikuja kujua baadae sana kama inaongeza ashki kwa mnywaji
SISI WANAUME HATUPENDI WANAWAKE/WAKE ZETU WAENDE BAR LAKINI TUNATAKA TUKIENDA BAR TUWAKUTE WANAWAKE😊😊Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.
Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!
Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana
Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.
Uzi tayari
Haisaidii, omba upewe mke mwenye hofu ya Mungu tu.Mengine ni mbwembwe tu, agiza kongoro tukulipieInauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.
Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!
Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana
Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.
Uzi tayari
Hakuna tatizo, kanywe hizo tofali.nawakumbushaView attachment 1970898
Mdada akishabugia WINE, KONYAGi au K-VANT ya kutosha, yy ndo anakuwa mtongozaji, na anakuwa tayari kwa shoo, hakuna haja ya maandalizi😋Inauma na kusikitisha sana pale ninapomuona mwanamke tena mke wa mtu akinywa pombe mbaya zaidi akishinda Bar au night clubs akinywa. Ukiona hivyo my bro jua tu, unachapiwa, sehemu hizo ni mbya sana, nikama unachezea shilling kwenye tundu la choo. Hamna mjanja kwenye pombe, pombe haina mwenyewe.
Luth(Lutu) mwenyewe kwenye biblia alifanyishwa tendo la ndoa na binti zake akiwa amelewa hajitambui, Nuhu yeye hata kujitambua kua yupo uchi alishindwa, hata mtoto wake kumuona uchi wake, wewe nani uwe imara kiimani kuwazidi hao watumishi wa Mungu?!
Tena kama mme na mke wote ni wanywaji basi tambua wote ni wazinzi, mbaya zaidi ukute mwanamke ni mpenda wine sana
Hakuna mwanamke mwenye msimamo duniani, inategemeana na juhudi, uwezo na hali ya mtongozaji. Binafsi siku nikitaka kuoa nitamuomba Mungu sana anipatie Mwanamke asie mlevi.
Uzi tayari
Ikisimama ilalieWanaume mna double standards sanaa yani
Sema huyo Sam shida yake ni moja.binafsi nafatilia comment zako sana
niamini mimi una kitu kikubwa kichwani
siku ukibadili id please let me know
Mdada akishabugia WINE, KONYAGi au K-VANT ya kutosha, yy ndo anakuwa mtongozaji, na anakuwa tayari kwa shoo, hakuna haja ya maandalizi