Recent content by Wapps

  1. W

    Msimamo wangu kuhusu Ongezeko la Posho kwa wabunge wa Bunge Maalum la Katiba - Makonda

    Achen kuwakandamiza wavuja jasho fanyen kilichowapeleka au ndio kusema mmepata ulaji huko na ndio maana kila kukicha kila mtu analalamika ooh mm nilipeleka jina langu kama mwakilishi fulan lkn halijatoka kuna hujuma. ..labda mtuambia mnawakilisha nn...kujaza matumbo? Au kero za wananchi..pigen kaz
  2. W

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Wamefata katiba au wamefata posho
  3. W

    Tujikumbushe Nyimbo kali za Bongo Fleva Zilizotamba zamani

    Zay b sasa nipo nipo gado...gado..mashairi yamejaa kisado..sado..zay to the b mwanadada gaidi sitaki ushaidi nn cha zaid mm ni danger usinichezee nitakuchinja...hahhahah jamani sijui yuko wapi huyuuu
  4. W

    Tujikumbushe Nyimbo kali za Bongo Fleva Zilizotamba zamani

    Nataka nipate walau nafasi...nipate kusema nawe kidogo aaah mamaaaa. ..mwenzio naumia aaa ooh...enzi za 1990
  5. W

    Umemsikia MUGABE alichomwambia OBAMA.?

    Hahaha....napita tuu
  6. W

    Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Hahhahahahhhhhah humu ndani mwanivunja mbavu yaan
  7. W

    Vazi La Diamond Platinumz Lililochangia Kupigwa Marufuku Video Ya Dully Sykes

    Iko poa tuu coz mazingira ya video yako kibeach zaidi labda tatizo jamaa dully naye kakikumbatua sana kile kitoto kakibinya sana ndio maana jamaa wakaona mmmh hatariiii
Back
Top Bottom