Recent content by wapo2

  1. W

    Tusiokunywa Pombe Njooni Tuelezane Vinywaji Vya Kuagiza Tukiwa Bar

    Sehemu zingine ni zipi sema walau 3
  2. W

    Dunia haiko katika gereza itikadi za kiyahudi, kubali kataa kwa hoja, wote mnakaribishwa

    Wayahudi ni wapi hasa ? Je, ni wale wananchi wanaokaa israel au tuwatambueje hasa ! Isije ikawa leo israel inakaa mizungu mingine tu ambayo hasa si miyahudi au asili yao !!!
  3. W

    Dunia haiko katika gereza itikadi za kiyahudi, kubali kataa kwa hoja, wote mnakaribishwa

    Wayahudi ni wapi hasa ? Je, ni wale wananchi wanaokaa israel au tuwatambueje hasa ! Isije ikawa leo israel ina kaa mizungu mingine tu ambayo hasa ni miyahudi au asili yao !!!
  4. W

    DR Congo: Vikosi vya kulinda amani vyashambuliwa, wanajeshi 14 wa Tanzania wauawa, 44 wajeruhiwa & 2 hawajulikani walipo

    Toweni majeshi yetu damu za vijana watanzania zinaniuma sana kuona zinamwagwa au jeshi letu zima likawatafute wauwaji hao hukohuko
  5. W

    Msanii Wema Sepetu arejea CCM, aitosa CHADEMA

    Wema alijiunga CHADEMA ili apiganie demokrasia jambo ambalo kwa uelewa wake AMETIMIZA kwa nini asirudi nyumbani Ccm
  6. W

    Nani mmiliki wa jengo la TANESCO Ubungo?

    Tra watuambie nani mmiliki wa jengo hilo kupitia vielelezo ya malipo ya jengo hilo
  7. W

    David Kafulila amtaka RC Makonda kuonesha vyeti

    Hizo zilikuwa TUHUMA lakini vyombo vyetu vya serikali vyennye WELEDI wa juu vikathibitisha hana HATIA ! Kwa mtanzania mwenye akili na anayeviamini vyombo hivyo hawezi kuendelea kuamini katika tuhuma
  8. W

    Mke wa Kafulila, Bi. Jesca Kishoa aondolewe CHADEMA haraka iwezekanavyo

    Bi Jesca Kishoa mke wa Kafulia asihukumiwe kwa dhambi ya mmewe Kafulila ila aachwe achape kazi za CHADEMA ,nae akisaliti ndipo ashughulikiwe
  9. W

    Sifa za mwanamke msomi na aliyekuzidi kipato katika mahusiano

    Piga papuchi kwa bidii,fanya kazi,simama kama mwanaume
  10. W

    Wanaume wengi hawajui kufanya mapenzi ila wanachofanya ni kubaka wapenzi wao

    Demiss huko ni kuingilia haki za viumbe dume ni tabia ya maumbile kwa viumbe wote . vipi unataka kuandaliwa na vipi usiandae wewe kijike ?
  11. W

    Mpango uliopo wa 'Siri’ CCM na CHADEMA kuungana kabla 2020

    Kwa nini mnadharau habari yake huku mkijua kuwa "Hata neno baya linafaa kwa mafundisho" na tena bila kusahau wahenga kuwa "Lisemwalo lipo na kama halipo lipo njiani Linakuja"?? TAKE CARE YOU ALL TANZANIANS OF GOOD WILL
  12. W

    Kinana hakualikwa au hakuhudhuria tu kikao cha Halmashauri kuu,Ikulu?

    Kikao kitafanyikaje bila katibu mkuu kuwepo ? Bora mwenyekiti asiwepo maana aweza kuchaguliwa mjumbe mmoja wapo kuwa mwenyekiti wa kikao na si katibu kutokuwepo ! Hicho kikao ni batili
  13. W

    Kesi ya kughushi vyeti iliyofunguliwa na Boniface Jacob dhidi ya Paul Makonda kuanza kusikilizwa leo

    Ndiyo anawezakufungwa Rais hana mamlaka ya kuzuia mahakama isimtie hatiani lakini anaweza kumtoa kifungoni kwa mamlaka yake ya kikatiba
Back
Top Bottom