dindilichuma
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,637
- 2,496
Inawezekana kwa chama tawala kutengeneza kopi yake nnje halafu kikawa chama cha upinzani kinachopata maelekezo kutoka chama tawala.
Ndio hivyo vyama huitwa chama B cha chama tawala kama ilivyosemwa kwa CUF ya Lipumba.
Sasa makada wa CCM wenye ushawishi wakihamia CHADEMA wakiwa na misheni maalumu itakua rahisi kwao kupewa nafasi za uongozi na kuwa na ushawishi na baadae ndio waamuzi wa hatma ya chama.
Inafika 2020 wanashiriki uchaguzi halafu hata wakiibiwa kura wanalalamika kidogo halafu wanawatuliza wanachama wanakiacha CCM kikiendelea kutawala kitakavyo.
Ni mawazo yangu tu nikiwaza mbali sana na ninaona baadhi ya makada wa CCM wakiwa na nguvu sana CHADEMA na chama kimeanza kubadilika kadiri ya wanavyotaka wao
Ndio hivyo vyama huitwa chama B cha chama tawala kama ilivyosemwa kwa CUF ya Lipumba.
Sasa makada wa CCM wenye ushawishi wakihamia CHADEMA wakiwa na misheni maalumu itakua rahisi kwao kupewa nafasi za uongozi na kuwa na ushawishi na baadae ndio waamuzi wa hatma ya chama.
Inafika 2020 wanashiriki uchaguzi halafu hata wakiibiwa kura wanalalamika kidogo halafu wanawatuliza wanachama wanakiacha CCM kikiendelea kutawala kitakavyo.
Ni mawazo yangu tu nikiwaza mbali sana na ninaona baadhi ya makada wa CCM wakiwa na nguvu sana CHADEMA na chama kimeanza kubadilika kadiri ya wanavyotaka wao