Wamshauri tu...superstars huwa wanakuwa na sports car sio gari za aina hizo, land cruiser sio gari za super stars..apate ushauri au basi aangalie super stars wenzake duniani yawezekana hajui
Kama makontena kadhaa yameshakamatwa na wasomali ndani, unategemea mangapi yalifanikiwa kuwavukisha salama. Hopefull ni zaidi ya yaliyokamatwa. Hivyo kifupi wahamiaji haramu wa kisomali ni wengi sana zaidj ya tunavyofikiri. Serikali lazima ichukue hatua mapema
kaka nimejaribu sijaweza pata. hapo Navtech kwanza hawauzi za gri ya aina ya Toyota pia hawana ramani za africa. if there is the other way please let me know
habarini ndugu. Je kuna mtu anafahamu naweza kupata wapi GPS map ya Tanzania. nina gari ya Toyota imekuja na CD ya Ramani ya Japan nataka nipate ya Tanzania. hata kama iko kwenye website ya kudownload naomba nijulishwe..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.