Matafuta Property Evaluator - (Mthamin Wa Majengo)

Matafuta Property Evaluator - (Mthamin Wa Majengo)

Ramthods

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2009
Posts
515
Reaction score
187
Wakuu,

Naomba msaada.

Kuna mama mmoja anahitaji mtaalam wa kufanya tathmini ya nyumba yake, ambayo kwa sasa ina wapangaji. Lengo ni kujua thamani halisi ya nyumba kwa ajili ya mauzo. Huyu mama anataka kuiuza hii nyumba.

Kama wewe una huu utaalam au unamfaham mtu anayejihusisha na shughuli hizi tafadhali nifaamishe hapa.

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu habari yako?

Mimi ni mtaalamu wa hii fani ya kutathmini thamani ya jengo na kukokotoa thamani yake ya soko.

Kama upo Dar-es-salaam tunaweza tukafanya kazi mkuu, kwa mikoani bado hatujaimarika sana.
 
nenda manispaa ya kinondoni utampata, kuwa makini wengine matapeli humu.
 
Wakuu,

Naomba msaada.

Kuna mama mmoja anahitaji mtaalam wa kufanya tathmini ya nyumba yake, ambayo kwa sasa ina wapangaji. Lengo ni kujua thamani halisi ya nyumba kwa ajili ya mauzo. Huyu mama anataka kuiuza hii nyumba.

Kama wewe una huu utaalam au unamfaham mtu anayejihusisha na shughuli hizi tafadhali nifaamishe hapa.

Natanguliza shukrani.
Kuna huyu valuer 0713 303262 yuko wizara ya ardhi pale.mtu mzuri sana
 
Back
Top Bottom