Recent content by Wannet2025

  1. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania TUCTA la pensheni sawa, geukieni bodi ya mikopo(HESLB) sasa

    Suala la pensheni bado kwa namna moja au nyingine. Pamoja na Mhe. Rais kurudisha kanuni za zamani kwa kila mfuko haimaanishi wastaafu wote wa mifuko yote watafaidi 50% wapo wale wenzetu wa nssf na ppf ambao walianza kulalamika kabla ya kanuni mpya. Wao walikuwa wanapewa 25%, wamerudishwa kule...
  2. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi mkuu SSRA: Kiuhalisia michango yote ya mstaafu ni 20% ya mshahara wake so 25% inampa ziada ya 5%

    Ukweli ni kuwa utawala huu sio rafiki kwa wtumishi. Hiyo kauli ya IRENE na wapambe wake ni wa hovyo sana. Huwezi kukaa na pesa ya mtu kwa zaidi ya miaka thelathini alafu unasema umemfanyia hisani unasahau kuwa fedha hizo umefanyia miradi mukubwa na kujipatia pesa nyingi sana.
  3. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Magufuli atashinda tena 2020

    Hongera kwa uchaguzi wako japo hujazungumzia katiba na muundo wa tume ya uchaguzi kama silaa ya ccm kushinda.
  4. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Hii tabia ya wabunge wa Chadema kutohudhuria mikutano ya maendeleo ya Rais Magufuli itaisha lini?

    Mbunge hawakilishi wananchi wake kwa Rais isippkuwa kwenye bunge. Ifike mahali tufahamu mipaka na madaraka ya bunge na mbunge. Pia mipaka na madaraka ya taasisi ya urais na Rais mwenyewe.
  5. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Sheria ya elimu namba 25 ya 1978

    Tafadhali wanasheria wangu naomba mnisaidie kanuni za adhabu kama zilivyoainishwa kwenye sheria ya elimu ya mwaka 1978
  6. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania TUCTA na LHRC Walumbana:Kauli "TUCTA hawatetei wafanyakazi"

    Inawezekana kuwa Vyama vya wafanyakazi havina msaada kwa wafanyakazi hasa kwa awamu hii. Viongozi wengi ni makada na wanachama wa vyama vya siasa wanawasaidia watawala kuwanyanyasa wafanyakazi. Kama wengine walikuwa wagombea kupitia vyama vyao na bado wanategemea kugombea chaguzi zijazo...
  7. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Tundu Antipass Lissu

    Inapendeza hoja za masuala kujibiwa kwa hoja za masuala. Wewe hujitambui kwani unajadili watu hapo wakati mwanzako amezungumzia masuala ya kisheria na kiutawala. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Masaa 48 kwa binadamu ni machungu

    Nakushauri ukaisome hiyo sheria vyema kwani haijasema mtu awekwe ndani kwa kosa lolote. Kaisome vizuri imetaja makosa husika na athari zinazoweza kutokea endapo huyo mtu hatadhibitiwa. Usiwapotoshe watu kwa ushabiki wako wa kisiasa huku ukidai umeumizwa na uamuzi wa RC Sent using Jamii Forums...
  9. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Vyombo vya Habari nchini Tanzania

    Huko nyuma walifikaje wakati leo wanaandika na kutaaminisha kuwa hali ya uchumi iko poa. Kwa hiyo wana pesa.
  10. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Vyombo vya Habari nchini Tanzania

    Hiki ni kipindi ambacho vyombo vyote vya habari nchini vimeacha kufuatilia, kuandika na kutangaza habari zinazohusu wananchi hasa wanyonge wa vijijini wanaoteseka kwa kukosa huduma bora za msingi kama Afya, maji, pembejeo, soko la uhakika la mazao, kero ya migogoro ya ardhi, matukio ya uhalifu...
  11. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri matokeo ya Mbunge jimbo la Buyungu na uchaguzi wa madiwani kata 36 Tanzania bara

    Tafadhali wale waliopo Buyungu na Tarime tunaomba mtupatie updates za huko kuhusu matokeo ya uchaguzi
  12. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa CCM mkoani Mara sio raia wa Tanzania

    Simtetei huyu kigogo wa ccm MARA, ila nataka ielewke kuwa kumekuwepo utaratibu wa kuhojiwa na uhamiaji pale inapoonekana mtu sio Raia vipi tayari amehojiwa? Kwani binafsi namfahamu mpaka kijijini kwao na tunatoka tarafa moja.
  13. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Sheria ya elimu namba 25 ya 1978

    Asante jamaa. Kama unaweza kupata kanuni za sheria mpya ya TSC na. 25 ya mwaka 2015 unitupie inform of pdf
  14. Wannet2025

    JamiiForums Tanzania Natafuta kurunzi ya mwalimu katika nakala tete

    Naombeni nipate KURUNZI YA MWALIMU(TEACHERS SCHEME) ktk mfumo wa PDF
Back
Top Bottom