Recent content by wangewange

  1. wangewange

    Msaada kuhusu mkopo wa elimu yajuu

    Habari wana jf ,ningeomba kujua kama mtu uli disco chuo na ulikuwa na mkopo ,una kaa muda gan kuomba tena mkopo na chuo? Na je taratibu za mkopo zinakuwaje na chuo unaomba tena? .ahsanteni
  2. wangewange

    Naomba kujua tofauti ya Hotel,Hostel,Motel,Guest House,Rest House,Inn,Resort,Lodge...

    Hahahaha umenitoa stress jembe langu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. wangewange

    Jamani Wataalam nisaidieni, huo ni mkeka wangu wa kesho

    Umebug vibaya mnooo ...Roma kala 7 wewe umempa win Sent using Jamii Forums mobile app
  4. wangewange

    Msaada:Kuna uwezekano wa kubadili lensi ya camera ya smartphone?

    Habari wadau. Naomben kujua kama kuna uwezekano wa kubadilisha camera ya simu ya smartphone yaani kubadilisha lenzi kuweka nyingne. Kwa mfano now camera yangu ni mp 3 nije niweke 5mp? Je inawezekana au camera iliokuja na Simu ndo hiyohiyo tu?
  5. wangewange

    Karoti¡!! Karoti.. Msaada wa soko

    Asante Mkuu nitafanya hivo.nilijua jf nitapata great thinker mmoja atanpa details za sokoni.
  6. wangewange

    Karoti¡!! Karoti.. Msaada wa soko

    Habari wana jf Ndugu zangu kijana wenu katikaa harakati za kujikomboa nmeamua kujishughulisha na uuzaji wa Karoti. Nataka nizitoe mbeya mpk dodoma. Lakin! Kwa mkazi wa dodoma Au kwenye kujua hili naomba anisaidie bei ya Karoti kwa dodoma. Ni sh ngap kwa kiroba cha kilo Mia ama kilo hamsini. Na...
  7. wangewange

    Jamani Asus zenfone5 TOOP mobile smartphone

    Jaman habar zenu wakuu...ndugu yenu hapa natumia asus toop lakin imeshapasuka display ...na nahtaji display mpya kwa mwenye kujua ni jinsi gani naweza kuipata hyo lcd display anisaidie kwakweli . Napatkana dar es salam.
  8. wangewange

    parsing errors problem inantesa

    HTC one incredible S
  9. wangewange

    parsing errors problem inantesa

    Habari jaman Nna tatizo katika simu yangu yaani kila application nayoinstal inagoma inaniambia parsing error problem package ...nmefanya hadi factory resert still yaleyale nfanyeje jaman???
  10. wangewange

    Kimara, Dar: Basi likitokea Dodoma lagongana na Lori; magari yateketea kwa moto

    ili bus mzee linakimbia balahaaa yaan linatumiaga masaa 6 na 30 dar dom ...dom dar linaovertake popote ili ...dah lazma litakua limepata ajar mbaya sana...
  11. wangewange

    Nauza laptop aina hp

    Habari wakuuuu.................... kama ilivvo hapo juu nauza laptop aina ya hp bei 380000 hard disk 500gb ram 2gb
  12. wangewange

    Viingilio Fiesta Dar

    weed?????????????/
  13. wangewange

    "Baby nina mimba yako" uliupokeaje ujumbe kama huu

    hahahaha mkuuu rahaaaa zaidi ya kufika kileleniiiiiii..... i am proud to be a daddy too.
Back
Top Bottom