wangewange
Senior Member
- Oct 4, 2013
- 189
- 43
Habari wana jf
Ndugu zangu kijana wenu katikaa harakati za kujikomboa nmeamua kujishughulisha na uuzaji wa Karoti. Nataka nizitoe mbeya mpk dodoma. Lakin! Kwa mkazi wa dodoma Au kwenye kujua hili naomba anisaidie bei ya Karoti kwa dodoma. Ni sh ngap kwa kiroba cha kilo Mia ama kilo hamsini. Na garama za usafirishaji na ushuru.
Ahsante.
Ndugu zangu kijana wenu katikaa harakati za kujikomboa nmeamua kujishughulisha na uuzaji wa Karoti. Nataka nizitoe mbeya mpk dodoma. Lakin! Kwa mkazi wa dodoma Au kwenye kujua hili naomba anisaidie bei ya Karoti kwa dodoma. Ni sh ngap kwa kiroba cha kilo Mia ama kilo hamsini. Na garama za usafirishaji na ushuru.
Ahsante.