Recent content by Wangaya

  1. W

    Can you crack the password?

    026 hence decrypted
  2. W

    Kada zipi ambazo zinaweza kuepuka kuhojiwa au kuwajibishwa na Makonda

    Aje atimbe kwenye kambi yoyote akahoji
  3. W

    Kudai Israeli ni Taifa la Mungu huku Wayahudi wakimkaata Yesu, ni ushahidi hizi dini zimejaa uongo mwingi

    Mkuu kwa kifupi kuna haja ya kuangalia vigezo na masharti watu kujoin Jamii forums! Tutaepuka sana zile xaxa, 2nakj, xawa, xana nk
  4. W

    Afariki baada ya kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume

    Haina effects kama dawa za kumeza
  5. W

    Mke wa mtu kaniletea msala

    Amevuruga location yake. Umakuta yupo mbeya huyu au mtwara
  6. W

    Mke wa mtu kaniletea msala

    Mke anauma mno tofauti na dem! Na ukiliwa mke unaweza kuchuka hatua kali za kufa kupona tofauti na dem. Jiandae, wajulishe ndugu mapema wakusaidie wakiona umeanza kuonesha manadiliko [emoji16]
  7. W

    Uhalisia wa maisha tunayopitia Afrika Kusini

    [emoji16][emoji16]Wabongo bana! Wewe ulitaka ujumbe ukufikiaje kuhusu hao mashoga? Au ulitaka aongelee vyoote ila kuhusu ishu ya mashoga amute?? Kwanza unaanzaje kuandamana ugenini wakati kwenu hujawahi fanya hivyo?
  8. W

    TANZIA Francis Mtega, Mbunge wa Mbarali afariki dunia kwa ajali ya bodaboda

    Taarifa za ugonjwa gani tena wakati umesema ni bodaboda?
  9. W

    Inakuwaje mtu kafiwa na mama yake lakini haoneshi huzuni wala kulia?

    Kuna dada mmoja namfahamu juzi kati alifiwa na mama yake. Tukatangaziwa kwenye group letu la whatsapp. Pole na michango zikaanza kutolewa mule kwenye group. Sasa cha kushangaza huyu dada anafanya biashara ya Vifaa vya ujenzi, anaduka kubwa mjini. kwa mtazamo wangu mimi ni kama hakuguswa na...
  10. W

    Wakuu, mke wangu nimemchoka

    Tabia ni kama nguo mkuu! Hata akiwa 30+
  11. W

    Wakuu, mke wangu nimemchoka

    Nilichomuelewa hapa ni kwamba, hanyimwi mbususu. Anapewa lakini ushirikiano ndio F. Yenyewe imelala tu ila wewe hangaika nayo ukichoka lala
  12. W

    Rais Putin yupo Afrika Kusini, tuone kama ICC watamkamata

    Hebu tujaadiri sisi wenyewe hapa, ni nani anaweza kujitoa muhanga kumkamata Putin?? Yaani kwa mfano ndio wanataka kumkamata, wakati huo walinzi wake wote watakua wamekaa tuuu maandiko yatimie au!? I wish nimwone mtu wa kwanza kumgusa jamaa akidai amekuja kumkamata. Kumkamata kiongozi mkubwa...
  13. W

    Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

    Age is nothing but a number! Ipeleke ikaliwe
Back
Top Bottom