😂 Vipumbavu sana hivi vitoto. Kuna kamoja nilikutana nako kako mwaka wa pili chuo flani mjini. Kalikua na dada yake. Dada yake alikua mcheshi na akanipatia nba yake.
Jioni nikacheki nikafunguka nimemkubali sana mdogo wake, aksema fresh akanitumia namba.
Siku hiyo nimekapigia nilienda straight to...
Maisha ya wabongo bana!! Sasa yule ni binti yake yaani ni mali yake. Kama alisema ataolewwa na tajiri, fresh tu, ni mali yake hapangiwi na mtu.
Kama mambo hayajaenda kama yalivyopangwa ni poa tu na ni kamwaida sana kupanga mipango yako na maisha yakakupangia yenyewe.
Sasa wabongo tusipende...
Mke anauma mno tofauti na dem! Na ukiliwa mke unaweza kuchuka hatua kali za kufa kupona tofauti na dem. Jiandae, wajulishe ndugu mapema wakusaidie wakiona umeanza kuonesha manadiliko [emoji16]
[emoji16][emoji16]Wabongo bana! Wewe ulitaka ujumbe ukufikiaje kuhusu hao mashoga? Au ulitaka aongelee vyoote ila kuhusu ishu ya mashoga amute?? Kwanza unaanzaje kuandamana ugenini wakati kwenu hujawahi fanya hivyo?
Kuna dada mmoja namfahamu juzi kati alifiwa na mama yake. Tukatangaziwa kwenye group letu la whatsapp. Pole na michango zikaanza kutolewa mule kwenye group.
Sasa cha kushangaza huyu dada anafanya biashara ya Vifaa vya ujenzi, anaduka kubwa mjini. kwa mtazamo wangu mimi ni kama hakuguswa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.