Mke anauma mno tofauti na dem! Na ukiliwa mke unaweza kuchuka hatua kali za kufa kupona tofauti na dem. Jiandae, wajulishe ndugu mapema wakusaidie wakiona umeanza kuonesha manadiliko [emoji16]
[emoji16][emoji16]Wabongo bana! Wewe ulitaka ujumbe ukufikiaje kuhusu hao mashoga? Au ulitaka aongelee vyoote ila kuhusu ishu ya mashoga amute?? Kwanza unaanzaje kuandamana ugenini wakati kwenu hujawahi fanya hivyo?
Kuna dada mmoja namfahamu juzi kati alifiwa na mama yake. Tukatangaziwa kwenye group letu la whatsapp. Pole na michango zikaanza kutolewa mule kwenye group.
Sasa cha kushangaza huyu dada anafanya biashara ya Vifaa vya ujenzi, anaduka kubwa mjini. kwa mtazamo wangu mimi ni kama hakuguswa na...
Hebu tujaadiri sisi wenyewe hapa, ni nani anaweza kujitoa muhanga kumkamata Putin?? Yaani kwa mfano ndio wanataka kumkamata, wakati huo walinzi wake wote watakua wamekaa tuuu maandiko yatimie au!? I wish nimwone mtu wa kwanza kumgusa jamaa akidai amekuja kumkamata.
Kumkamata kiongozi mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.