kKwanza mtoa mada nawewe unaonekana unaona gere, matumizi ya fedha ya mkopo wewe yanakuhusu nini, istoshe anakatwa mshahara wake kurejesha mkopo. sioni mantiki ya hoja yako. fedha za mfuko wa jimbo zinatokewa ambazo mbunge chini ya kamati ya mfuko wa jimbo wanapanga nini kifanyike katka jimbo...
Siasa zimeshabadilika hizi. kama ccm wajiaminisha ushindi ni lzm hata kwa goli la mkono, nadhan sasa hata wakiachiwa penalt wafunge kwa mkono hawawezi tena...! believe me, stay tuned!
Hata akifurukuta Act hamna kitu. Kwani Ccj ya akina Six iliishia wapi? Usaliti siyo mzuri. Zito alijifanya maarufu kuliko chama wakati chama ndicho kilichomlea. Aende na katika safari ya kisiasa ndo inaishia ishia. Nampa pole nyingi, na kumtakia maisha mema uuko Act
kaka mbona povu linakutoka?! soma habr yenyewe uielewe ndipo uanze kuchangia. Kakobe ameomba siku ya uchaguzi isiwe jumapli, jumamosi na ijumaa. uchaguz ufanyike siku yoyote isipokuwa siku nilizozitaja!
teh.... umeona post ya kwanza haitoshi ukaona uongeze ya pili. pole, sasa unagombana na habar gazeti limeripot kilichotokea. kwa hiyo hata kama gazeti limeripot ukweli we kazi yako ni kumponda mengi kama ilivyo id yako! huo ni uj- inga. komboka kifikra wewe!
ndugu zangu waislam, hili suala la mahakama ya kadhi kuwa sehem ya chombo cha dola ili hali kinalenga kuhudumia kundi flan tu yaan waislam, siyo halali hata kidogo kuendeshwa kwa gharama ya serikali ili hali walipa kodi ni watanzania wote( wakristo na waislam na wapagani). siyo halali kuendeshwa...
Inteligencia ya CDM imefanya kazi nzuri sana. ukisikiliza kwa umakini ile hotuba ni dhahiri ilipanga kuwasafisha Tibaijuka na Mhongo. upepo ulivyobadilika ghafla akachenji hata kumweka kiporo mhongo ni lugha ya danganya toto lkn alipanga kumsafisha. ok ngoja tuone hatua atakazomchukulia. yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.