Recent content by wanaminyaipi

  1. W

    Nini chanzo cha Polisi wa pikipiki kuitwa 'Tigo'

    Mimi nadhani ni kuenea kwao ni kama mtandao wa tigo.
  2. W

    Hii tabia msipojirekebisha mtakuja kusema alichosema Ray C ikifika Jioni

    Kiukweli baadhi ya nyakati kina dada wanajiharibia wenyewe kwa kuaheuza wanaume kua taasisi za fedha utasikia wakisema sina bwana sina mume hiyo pesa nitapata wapi! Haya je mwanaume ndio pesa? Nijuavyo mimi mapenzi ni haki kwa mujibu wa maumbile nasio kazi Kupeana vitu vya hapa na pale kwenye...
  3. W

    Ni dhahiri sasa, Maalim Seif amebaki na uanachama wa CUF tu. Msajili yuko na Prof. Lipumba

    Safi waambieni maana hawajielewi Huwezi kupingana na sheria ndio maana dola ikawekwa ili kusimamia sheria itiiwe Usipo tii kwa hiyari jua dola itakulazimisha Utii kwa nguvu ili mambo yaende Jee hivi maali seifu halijui hilo? Watanganyika sio nyumbu kama wa znz Kila analo waambia wao wamebaki...
  4. W

    Wabunge 10 na madiwani 2 wa CUF ya Seif wakacha kikao cha kamati ya Lipumba

    Hakuna msafi hata seifu nae ni msaliti aliwakimbia januari 2001 wakati hakutumwa kokote na maandamano hayakua ya ghafla kakaa kikao na ccm 2015/16 yeye peke yake ccm saba na akafanya kikao ni siriake2 HANA USAFI Kuhusu ubaguzi seifu ni mbaguzi kupita kiwango 2015 Wakati sare za chama znz...
  5. W

    Adhabu ya kifo kwa kuchinjwa mbele ya kadamnasi (Tahadhari: maelezo, picha na video za ukatili)

    Nionavyo mimi kimsingi wenye chuki dhidi ya uislam kwanza hawataki kujua malengo ya uislam pia hawataki kukubali kua wao uislam hawaujui wao wanataka kulinganisha uislam na wazungu kitu ambacho hakiwiani kwasababu wazungu wao mambo yao wanajipangia wenyewe na siyo maagizo ya mamlaka fulani hata...
  6. W

    Ikulu: Rais Magufuli apokea ujumbe kutoka kwa Kagame. Akubali kupeleka Rwanda walimu wa Kiswahili

    Ndio maana wa znz wanatamani wabaki pekeyao kwakuliona hilo.
  7. W

    Askari wetu mnaangamia kwa kuwa mlipuuzia ushauri wa Rais

    Nahisi tamkoilo lili tolewa na mkuu wa mkowa Daresalaam au waziri mwenye dhamana katika mazishi ya mmoja wa.askari alie uwawa hakusema rais pili maoni yangu ipo haja ya kuangalia kwanini matukio haya yanashika kasi ili tupate tiba ya kweli kumuambia polis ashike silaha mkononi bado sio dawa...
  8. W

    Je ni kweli Idd Amin alikuwa anateka maadui zake, anawakata kichwa, anaweka kwenye Friji?

    Hii sio kweli mimi nachanganya akili 1985 hilo swali lilikuepo kichwani kwamaana kila unapo ambiwa amini kachinja vichwa vyenyewe ni viwilitu na ndo hivyoivyotu na friji ni hioiotu na lile lori ni lileliletu je kama ingekua ni tabia yake kwanini kusiwe na matukio ya kujirudia ruduia? Jee huwoni...
  9. W

    Je ni kweli Idd Amin alikuwa anateka maadui zake, anawakata kichwa, anaweka kwenye Friji?

    Hivi kama nikweli hio ilikua tabia yake mbona hivyo vichwa humo kwenye friji ni viwilitu? Na friji yenyewe ni mojatu? Kila unapo ambiwa amini kachinja unaoneshwa friji hiyotu kulikoni? Tangu mwaka 1988 mimi naanza kuchanganya akili sijaona friji nyingine wala vichwa zaidi ya hivyo na...
  10. W

    Ukwepaji Kodi: TRA wawashusha Serengeti Boys njiani walipokuwa wakielekea kwa Makamu wa Rais

    Zionekane pia na kaziyake sio mapato yanaongezeka hela za miradi na utekelezaji wa bajeti hakuna hapo hatuta elewa.
  11. W

    Kwanini vyombo vya habari vya nje vituandame hivi hata kwa jambo dogo?

    Wasiwasi wangu isije ikawa ni uchochezi kwa wananchi au usaliti kwa chama cha mukulu.
  12. W

    Eti kweli jamani???

    Kwa jinsi comet zilivo inaonesha kuna ukweli juu ya hilo ila pia lazima ujiulize upake mafuta makalioni mwanaume ili iwejee??
Back
Top Bottom