Je ni kweli Idd Amin alikuwa anateka maadui zake, anawakata kichwa, anaweka kwenye Friji?

Unatka kusemaje?

Mimi ni Mfuasi wa Yesu Kristo mwana wa Mungu aliyehai, ambaye ni Bwana na Mwokozi wa dunia. Yesu Kristo atakayewahukumu waliohai na wafu ukiwemo wewe muhamedi wako, allah wako na iddimini, na kila mtu. Mungu ni mtakatifu wala habadilishwi na utashi wako.

Kuwa mfuasi wa Kristo ni sfa ya pekee kwa sababu Yesu Ndiye Njia, Kwlei na Uzima. Mtu hafiki kwa Baba ila kwa njia ya Yesu. Ulitaka niseme mimi ni mfuasi wa shetani?

Wewe jitanganze na wewe kwamba ni mfuasi wa shetani, ndiyo sababu umejaa uwongo, uchonganishi, chuki, na ualghau na sasa uansema muuaji Iddi amini alikkuwa mtakatifu. Pumbavue sana ninyi waadubu shetani. Unachokipinga hukujui.

Mimi nimekuambia nilikuwenda Uganda kumfurusha huyo malaika wako. Habari zake ninazifahamu kutoka kwa waganda moja kwa moja na kwa kuona kwa macho yangu. Leo wewe unaleta ushtani wako hapa wa kusimuliwa eti iddi amini alikuwa mtafatifu. Huo ni utakatifu wa allha ambaye kazi yake ni kuchinja, kuiba na kuahribu.

Kwa hiyo usilazimishe watu wote waabudu shetani. Unasikia wewe muabudu shetani?

Wote mashetani kama iddi amni tutawafurusha hadi mshike adabu zenu. Unaleta progaganda hapa za kumtakasa ili uhalaishe ushetnai wako? Pumbavue tu ndiye anaywez kusema kama wewe. Narudia tena wewe ni pumbuvek kwa kuwa kumjui Mungu na ndiy sababu uandiriki kuleta upumbavue hapa.
 
Hivi kama nikweli hio ilikua tabia yake mbona hivyo vichwa humo kwenye friji ni viwilitu? Na friji yenyewe ni mojatu? Kila unapo ambiwa amini kachinja unaoneshwa friji hiyotu kulikoni? Tangu mwaka 1988 mimi naanza kuchanganya akili sijaona friji nyingine wala vichwa zaidi ya hivyo na havibadiliki ndo hivyo ivyo hata ilo ni mojatu jee hamuoni kua hayo mambo kua yaliandaliwa?
 
Hii historia ina ukweli au iliwekewa chumvi?

Kwamba kipindi cha idd amin watu waliokuwa na msimamo tofauti na yeye walikuwa wanatekwa/wanapotea na kama muhusika alikuwa ni adui yake basi alimkata kichwa na kukiweka ndani ya Friji na kila akipata muda hufungua Friji na kukikebehi kichwa hicho?

Wajuzi mtufahamishe
Hii sio kweli mimi nachanganya akili 1985 hilo swali lilikuepo kichwani kwamaana kila unapo ambiwa amini kachinja vichwa vyenyewe ni viwilitu na ndo hivyoivyotu na friji ni hioiotu na lile lori ni lileliletu je kama ingekua ni tabia yake kwanini kusiwe na matukio ya kujirudia ruduia? Jee huwoni lua hilo jambo kua lili andaliwa?..
 
Hii historia ina ukweli au iliwekewa chumvi?

Kwamba kipindi cha idd amin watu waliokuwa na msimamo tofauti na yeye walikuwa wanatekwa/wanapotea na kama muhusika alikuwa ni adui yake basi alimkata kichwa na kukiweka ndani ya Friji na kila akipata muda hufungua Friji na kukikebehi kichwa hicho?

Wajuzi mtufahamishe

Pengine kweli maana lile jitu lilikuwa kubwa kimwili lakini akili kama kindergaten
 
Acha ushamba....!kumbuka wkt ile technogy ya video ilikuwa hadimu.....!

Kama aliweza kuteka watu na kuwapakia kwenye tipa na kwenda kuwamwaga mtoni,nimesahau kdgo jina la mto,angeshindwa nini kukata vichwa vyao akiwa tiari ashawaua....

Na ukisubiri ushahidi wa video za Iddy Amin humu utakaa sana kijana.
Chinmbe chinembeeeeeee mnatumia simu vibaya badala ya kugoogle uangalie ukweli unaanza propaganda za kusafisha watu ,iddiamin ni moja ya watu katili hatari kuwHi kutokea angalia video zake you tube,acha kutetea ujinga

MBONA UNAPINGANA NA MTOA MAELEZO...!? yeye anadai video zipo youtube, sisi hatuza jiona ndio tunamtaka azilete humu
 
Hii historia ina ukweli au iliwekewa chumvi?

Kwamba kipindi cha idd amin watu waliokuwa na msimamo tofauti na yeye walikuwa wanatekwa/wanapotea na kama muhusika alikuwa ni adui yake basi alimkata kichwa na kukiweka ndani ya Friji na kila akipata muda hufungua Friji na kukikebehi kichwa hicho?

Wajuzi mtufahamishe

Jee hayo tuliyajua kabla ya vita ya kagera? Hapana ile ilikua ni propaganda ya kivita. Unapigana na adui kwa silaha na maneno ya kukuchafua ili watu wako wakuchukie
 
Nimekaa Uganda miaka minne, nilikuwa nikiwauliza wazee tofauti tofauti katika miji tofauti Uganda kuhusu Idd Amin, kwa ujumla wanasema hajapata kutokea raisi alieleta maendeleo na kuwajali raia wa Uganda kama Idd Amin. Hayo ya ukatili wanasema ilikuwa ni propaganda za Obote na Mchonga Meno!
 
Chinmbe chinembeeeeeee mnatumia simu vibaya badala ya kugoogle uangalie ukweli unaanza propaganda za kusafisha watu ,iddiamin ni moja ya watu katili hatari kuwHi kutokea angalia video zake you tube,acha kutetea ujinga

MBONA UNAPINGANA NA MTOA MAELEZO...!? yeye anadai video zipo youtube, sisi hatuza jiona ndio tunamtaka azilete humu
Una ushahidi wa ukatili wa Iddi Amin? Kama mlimvamia mlitaka awachekee? Kwenye vita kuna kuuwa na kuuwawa.
 
Yan ww ni jinsi gan unaonesha hauna akili hata kidogo,tena ww ni wale walikwenda vitan lkn walikuwa hakuna wanachokijua hata kdg..unajisifia umekaa mton na kisu ulijiuliza kwnn wamekupa kisu baada ya bunduki?ulipewa kisu ili uwapikie wanaume wale ndo maana ulikuwa unashinda mton kuvua samaki..lkn kwenye battle ground haukosogea,kwa taarifa yako Iddi amin hakuwa katiri km ulivyodanganywa,ile ni order kutoka kwa malkia Elizabeth Iddi amin aondolewe madarakan ikatafutwa sababu na babu yetu JK na kutuaminisha kwamba yule mtu katiri na anataka kuchukua sehemu ya ardhi yetu..mimi nafanya shughur zangu nchin Uganda wenyewe mpk leo wanakili hakuna kiongoz aliekuwa bora km Iddi AMIN.hizo ni propaganda kwa waelevu km sisi hatuziamin,ww baki na ujinga wako unajisifia umri wkt huna lolote zaidi unakashifu dini za watu pumbavu mkubwa ww.
 
Chinmbe chinembeeeeeee mnatumia simu vibaya badala ya kugoogle uangalie ukweli unaanza propaganda za kusafisha watu ,iddiamin ni moja ya watu katili hatari kuwHi kutokea angalia video zake you tube,acha kutetea ujinga
Bahati mbaya huko kwenye ma google wanaandika wanachotaka uamini.
 
Historia zinazoandikwa na watanzania zina ukakasi sana kama hauko makini utalishwa pumba tupu.
Story ya IDD Amini waulize waganda wenyewe.
 
Kwamba eti alikuwa anakusanya walemavu mitaani na vipofu na kuwatupa mto kagera wanaliwa na mamba

Mara sijui alimpasua mkewe tumbo la ujauzito ili aone watoto wanakaaje
 
Duuu Yaan leo hii mtu anasema idi amin hakua muuaji?, Basi tuambie tu km kuna baadhi ya vitu alibambikiwa ili kuzd kumchafua, ila hii leo unamsifu kbsaa, wonder shall never end only in Tanzania, Mwisho wa siku Utaanza kusikia PILATO na WAYAHUDI hawaku muua Yesu,
 
Back
Top Bottom