Nenda Enterprise Finance Limited. Mkopo ni rahisi kupata na haraka. Riba ni reasonable saaana. Kama upo Dar wako Shekilango karibu na Marie Stopes hospital. Dodoma wamefungua Branch.
Wapi ambapo hawapigi Faiza? Hata CAG anajua upigaji upo katika kila taasisi na hata serikalini. Mi naona kwa makanisa hayatuhusu kwani wapigwaji wameridhika wanatoa kwa hiyari na kwa imani yao na hawalalamiki wamweridhika. Upigaji wa mali umma tu ndio iwe concern ya mlipa kodi kwani imani ya...
Lakini husubiri zaidi ya dakika 15. Kumbuka unachukua muda mfupi katika kipengele cha usafiri kuliko ukitokea popote Dar. Panton hazina changamoto kama daladala au mwendokasi
Hakuna shida na ferry siku hizi. Gharama ya chumba ni cheap kwa 100k unapata vyumba viwili vizuri kwenye maeneo tulivu. Usafiri wa daladala hata kama utaishi Geza au Kibada bado ni elfu kwa siku na husubiri kituoni zaaidi ya dakika 10, hakuna foleni barabarani. Hakuna joto wala mbanano. Karibu...
Mbona sikuulizwa swali la waliokufa maana kama wangeuliza lazima la lini walikufa lingefuata.
Mimi nakumbuka walikuwa wanauliza vifo vya watoto waliozaliwa wafu na hili swali lilimlenga mwanamke iwapo alishapoteza mtoto wakati wa kuzaa.
Kuna Data nyingi za mtu zinaweza kupatikana NIDA hivyo...
Hakika uzalendo wako umeonekana kwa vitendo kwanza kwa kushiriki zoezi na kwa kutoa hamasa kwa wananchi wote waendeleze uzalendo kwa kutoa ushirikiano katika kukamilisha zoezi muhimu la sensa
Kwa vile umedhihirisha uzalendo, napenda kukupa kazi ili kusaidia kufanikisha zoezi hili. Jana mimi na...
Mhhh Paskali hii kesi ya Lord Rajpar inanikumbusha na inanipa majonzi kwani inanigusa sana kutokana na kuwa baba yangu mdogo (RIP) alikuwa mhusika kama mtumishi wa usalama kuishughulikia hii kesi, ilimpa hadi shinikizo.
Safi sana. Umenikumbusha enzi za East Africa Safari RaIly nikosoma nilisubiri nje ya fence ya shule mpaka Shankland apite kwa mbwembwe na gati chafuuu, ila umekosea ni Bert Shankland.
Uumbaji wa kwanza katika biblia. Kitabu cha Mwanzo ambapo Mungu anasema " Na tumumbe mtu mfano wetu". Kwanza hapa tunaona kuwa Mungu alizungumza na wengine aliokuwa nao wakati ule na akawaumba mke na mume. Baadae anamuumba Adam kwa udongo na baadae akaona ampatie nae mke hivyo anamuumba Hawa kwa...
Mhenga mwenzangu. Isevya kwa kwa Ali Maguberi, kina marehemu Hamis Magurdumubna vitumbua vya moto, matapeli wa mwanzooo kina Juma Nkolokosho.
Enzi za Uhazili tulitesa sana, Railway Club. Timu ya basketball kina Kamsululu. Nimekumbuka mbali sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.