PopoMlalafi
Member
- Nov 5, 2021
- 61
- 76
Ninahitaji mkopo wa dharula wa 2M or 3M Mimi muajiriwa mwenye kipato Cha kati. Msaada plz. Nina uwezo wa kurudisha Laki hadi Laki na nusu Kila Mwezi.
Nipo serious wakuu
Nipo serious wakuu