Recent content by wambagusta

  1. wambagusta

    Mzee Warioba, Tahadhari: Huwezi Kugeuzwa kuwa Jiwe la Chumvi

    Unajua lissu kuwepo ndani raisi samia kunamtesa sana anatumia nguvu kubwa sana kumshawishi lissu watoe tofauti zao kwa hiyo inawezekana anataka amtumie warioba kwa nguvu yake ya kukubarika kwenye jamii hivyo awashawishi chadema na lissu wakae mazeni wasemehane na maisha mengine yaendelee...
  2. wambagusta

    Polepole ni "double agent" wa CCM mjihadhari nae

    Nahunga mkono hoja kuna kipande mwenyewe amesema kwamba Kikwete ndiye aliyemtoa huko chuo kipindi anasoma . Samia ndie kiongozi wa kwanza ccm kujionyesha hadharani kwenda Nairobi kumuona lissu baada ya kupigwa risasi pia samia akuchoka akamrudishia haki zake zote za ubunge alafu eti leo ha ha...
  3. wambagusta

    Polepole: Wale mnanitafuta acheni tu mimi ninaongea kama Mtanzania na kama mwana CCM

    Nchi ngumu ndio maana na leo tena mtandao kama kobe
Back
Top Bottom