Tatizo ya serikali yetu Kuna makundi yanashindana na baadhi ya viongoz wanakomohana hasa kwa huyu mzanzibar wanamkomowa ili jamii imuone afai kitu ambacho sio fair kabisa urasi au uwongoz utoki kwa mtu unatoka kwa mungu, mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.