Unajua lissu kuwepo ndani raisi samia kunamtesa sana anatumia nguvu kubwa sana kumshawishi lissu watoe tofauti zao kwa hiyo inawezekana anataka amtumie warioba kwa nguvu yake ya kukubarika kwenye jamii hivyo awashawishi chadema na lissu wakae mazeni wasemehane na maisha mengine yaendelee...
Nahunga mkono hoja kuna kipande mwenyewe amesema kwamba Kikwete ndiye aliyemtoa huko chuo kipindi anasoma . Samia ndie kiongozi wa kwanza ccm kujionyesha hadharani kwenda Nairobi kumuona lissu baada ya kupigwa risasi pia samia akuchoka akamrudishia haki zake zote za ubunge alafu eti leo ha ha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.