Recent content by Walyobahamza

  1. W

    Rais Magufuli unahitaji maridhiano makubwa ndani ya CCM

    mkuu ni 80% umekosea kidogo
  2. W

    Athari za kutojiunga na JKT kwa mujibu wa Sheria

    Jkt mgambo, 835Kj,,nenda kapige kozi kijana, usisahau kuwapa salamu zangu, afande nyanza,,afande magela,,afande mnonzi,,afande kitereja,,afande rama,,afande jaza,,afande kessy,,afande mudy,,afande wame,, na SM wote bila kumsahau kimbinyiko na manyani(pantaleo) Nenda ukajiiLe babaaa
  3. W

    Nafasi za kazi (afya) JWTZ

    Sio kujiunga na jeshi mkuu, ni kuajliiwa na jeshi taaluma ile ile ya afya na sio kua askar wa jwtz elewa
  4. W

    Ipi ni shahada nzuri kati ya 'Accounting' na 'Banking and Finance'

    Bado una wazo LA kuajiliwa tu 21 century!!!! Kijana AMKA
  5. W

    JKT 2018 updates

    Kuongezewa tarehe kuna maana IPI hasa? 1.kuna probability ya kupewa ulaji vikos vya ulinzi? 2.wanasabur jkt ipewe nauli za kuwarudisha kwako? 3.kuna kozi bado hawajamaliza ndo wako hatua za mwsho mwsho? 4.Hawataman kuwaona wanaondoka kwakua ndio nguv kazi yao walioizoea? 5.wanamalizia...
  6. W

    JKT 2018 updates

    Wanarudi home mwezi huu washalifaidisha jeshi sasa ni muda wa kujifaidisha wao
  7. W

    JKT 2018 updates

    Mambo tayari chinichini bobu, kinachosubiliwa ni geresha tu LA kutangaza ila wanaoenda koz washapatikana, pole sana
  8. W

    Ni lini JWTZ wataajiri vijana wa JKT waliopo makambini kwa mwaka huu 2018?

    Kwani ni lazima uajiriwe na jwtz,, ata polisi magereza zimamoto pia n vyombo vya ulinzi msikalili JW tu,, but subirini uchaguzi ukaribie tutapunguza kdogo vjana wa jkt
  9. W

    SABABH INAWEZA KUA NIN HASA

    wakuu habari Moja kwa moja kwenye mada ya Leo,, ilikua wiki mbilli passed. Nilipata demu mmoja,,kwa mujibu wake anasema alikua na basha mmoja tu kashaachana nae,,,nilipoingia nae on bed kumvua pichu Duuuuuuh sikuamin baada ya kuiona puchuchu imechakaa mfano wa kuchanwa chanwa hiv,,yani imeraruka...
  10. W

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    Habari wakuu,,,kwanza salama,,pili naombeni ushauri wa mawazo au dawa juu ya hili tatizo,,,tatizo LA premature ejaculation ni tatizo linalowasumbua wanaume weng has a zama hizi,,pindi amuingiliapo mwanamke ndanu ya muda mfupi tu anapiga gori na hapo mashine inalala,,naomben ushaur wa mawazo au...
  11. W

    waliopangiwa makambi jkt tukutane hapa.

    habar wadau, naomba kwa wale waleopangiwa makambi jkt tuambiane hapa
Back
Top Bottom