Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,618
- 3,083
Ivi unajua Jwtz kwa mwaka wanastaafu askari wangapi???sio maafisa nasemea Askari,kwa taarifa yako kwa mwaka wanastaafu askari zaidi ya 7000 upo....Sasa uoni kama nchi inakuwa na uhaba wa askari ww unazani walioanzisha jkt ni wajinga kwamba maskaa wachukuliwe kupitia jkt ni wajinga???ndio mkataba ausemi wajiriwe ila sio kwamba watu wasiajiriwe ukisema ivyo unakosea wale watoto lazima wajiriwe ili nchi yetu tuwe na askari wa kutosha sasa kama kwa mwaka wanastaafu askari 7000 kuna shida gani ukitenga bilion 2 au 3 kuajiri askari jeshi japo hata 5000 kwa mwaka kuna shida gani tatizo sio ajira tatizo nchi inatakiwa iwe na askari wa kutosha ili ulinzi uimalike vzr mipakani....kustaafu kwa askaari 7000 kwa mwaka sio masihara mana kumbuka kila mwaka lazima intake moja au mbili zistaafu za jeshi upo hapo.....najua kuna askari wengine uongezewa mikataba ila aizidi miaka 2......leo askari alie anza jeshi miaka ya 1985 hayupo jeshini kesha staafu mda 85 mbali alie anza miaka ya 88 tu leo jeshini ni mstaafu kwaiyo unapo ongea uwe unafanya na tafiti sio kusema tuu eti warudi nyumbani kurudisha watoto wa jkt 8000 ni wengi sana hawa kwann tusiwajiri wawe maskari wailinde nchi yetu....Sio roho mbaya boi. Usilazimishe waajiri wakati uhitaji huo haupo. Sasa ww unaona waajiri tu kisa watu wapo jkt. Kwani nani aliwaahidi ajira?? Nenda soma mikataba yao, kupata ajira ni majaliwa tuu. Aim ni kujitolea