Nafasi za kazi (afya) JWTZ

Sio roho mbaya boi. Usilazimishe waajiri wakati uhitaji huo haupo. Sasa ww unaona waajiri tu kisa watu wapo jkt. Kwani nani aliwaahidi ajira?? Nenda soma mikataba yao, kupata ajira ni majaliwa tuu. Aim ni kujitolea
Ivi unajua Jwtz kwa mwaka wanastaafu askari wangapi???sio maafisa nasemea Askari,kwa taarifa yako kwa mwaka wanastaafu askari zaidi ya 7000 upo....Sasa uoni kama nchi inakuwa na uhaba wa askari ww unazani walioanzisha jkt ni wajinga kwamba maskaa wachukuliwe kupitia jkt ni wajinga???ndio mkataba ausemi wajiriwe ila sio kwamba watu wasiajiriwe ukisema ivyo unakosea wale watoto lazima wajiriwe ili nchi yetu tuwe na askari wa kutosha sasa kama kwa mwaka wanastaafu askari 7000 kuna shida gani ukitenga bilion 2 au 3 kuajiri askari jeshi japo hata 5000 kwa mwaka kuna shida gani tatizo sio ajira tatizo nchi inatakiwa iwe na askari wa kutosha ili ulinzi uimalike vzr mipakani....kustaafu kwa askaari 7000 kwa mwaka sio masihara mana kumbuka kila mwaka lazima intake moja au mbili zistaafu za jeshi upo hapo.....najua kuna askari wengine uongezewa mikataba ila aizidi miaka 2......leo askari alie anza jeshi miaka ya 1985 hayupo jeshini kesha staafu mda 85 mbali alie anza miaka ya 88 tu leo jeshini ni mstaafu kwaiyo unapo ongea uwe unafanya na tafiti sio kusema tuu eti warudi nyumbani kurudisha watoto wa jkt 8000 ni wengi sana hawa kwann tusiwajiri wawe maskari wailinde nchi yetu....
 
Bwana weeeee izo statistics za kazi gani?? Kama jeshi lina uhitaji wa watu lazima ajira zitangazwe. Is a simple logic. Kama hakuna uhitaji anira Noo.

Wewe unaona Serikali inapigana kubana matumizi, ww unalazimisha serikali iajiri watu ambao ni un productive hawaingizi hela yoyote zaidi ya kupokea Mishahara tuuu.

Kwanza hatuna Vita, Mipaka yetu ipo salama. Wanajeshi wa kazi gani???

Once serikali ikiona kuna uhitaji itaajiri according to capacity. Sio kuajiri kwa mazoea tu.

Hata ww unakunywa maji ukiwa na kiu. ndo maana hunywi maji muda wote.

Jeshi limegundua lina upungufu wa wahudumu wa Afya limeamua kuajiri hao. Sasa ww unasema kuna ma injinia, wahasibu, wagavi, nani kasema jeshi lina upungufu wa izo fani????

Once wakiwa na upungufu utaona wanatangaza ajira.

Haihitaji akili kubwa kuelewa ninacho sema
 
Bwana weeeee izo statistics za kazi gani?? Kama jeshi lina uhitaji wa watu lazima ajira zitangazwe. Is a simple logic. Kama hakuna uhitaji anira Noo.

Wewe unaona Serikali inapigana kubana matumizi, ww unalazimisha serikali iajiri watu ambao ni un productive hawaingizi hela yoyote zaidi ya kupokea Mishahara tuuu.

Kwanza hatuna Vita, Mipaka yetu ipo salama. Wanajeshi wa kazi gani???

Once serikali ikiona kuna uhitaji itaajiri according to capacity. Sio kuajiri kwa mazoea tu.

Hata ww unakunywa maji ukiwa na kiu. ndo maana hunywi maji muda wote.

Jeshi limegundua lina upungufu wa wahudumu wa Afya limeamua kuajiri hao. Sasa ww unasema kuna ma injinia, wahasibu, wagavi, nani kasema jeshi lina upungufu wa izo fani????

Once wakiwa na upungufu utaona wanatangaza ajira.

Haihitaji akili kubwa kuelewa ninacho sema
Hauko kwny system aujui unachoongea ndomana unasema kuajiri kwa mazoea na nani ka kwambia wanajeshi co productive ww jamaa ujui kitu yani ujui kitu izo mission wazoenda kila siku Congo,Sudan kusini, lebanoni UN inamlipa nani kama si serikali sasa utasemaje jeshi sio productive kumbuka jeshini kuna miradi kibao tuu wanajeshi uzalisha vitu kibao operation kibao hufanya wao na kuleta faida serikalini tatizo lako umekalili eti wanajeshi awana kazi za kufanya ungeingia jeshini ndo ungejua kazi gani za maana uifanyia serikali na kuipa faida kama ujui kitu nyamazaga tuu mzee....
 
Hauko kwny system aujui unachoongea ndomana unasema kuajiri kwa mazoea na nani ka kwambia wanajeshi co productive ww jamaa ujui kitu yani ujui kitu izo mission wazoenda kila siku Congo,Sudan kusini, lebanoni UN inamlipa nani kama si serikali sasa utasemaje jeshi sio productive kumbuka jeshini kuna miradi kibao tuu wanajeshi uzalisha vitu kibao operation kibao hufanya wao na kuleta faida serikalini tatizo lako umekalili eti wanajeshi awana kazi za kufanya ungeingia jeshini ndo ungejua kazi gani za maana uifanyia serikali na kuipa faida kama ujui kitu nyamazaga tuu mzee....
Jeshi lingekuwa productive lisingekuwa na Budget serikalini. Tena budget ya jeshi inapita kimya kimya bila mbwembwe za kambi ya upinzani wala chama Tawala.

By the way unataka niwe kwenysystem gani ndo tuende sawa??.

Wewe unadhani Wanajeshi au jeshi linapenda kwenda huko Darfur, Lebanon, DRC kwenye vita ambazo hata historia zake hawazijui wala hawana maslahi na iyo vita???

Hiyo ni mikataba ya UN. Kama umekubali kuwa member country wa UN, once ukiombwa Wanajeshi wa kulinda amani lazima uwatoe.

Jeshi linatumia mamilion ya pesa Kutrain wanajeshi kwa ajili ya kulinda nchi yetu na sio kwenda kupeleka wanajeshi wetu wakafe ndo tupate pesa. ( Iyo Idea yako ni ya kipumbavu kuwai tokea)

Tanzania hatuna vita na nchi yoyote. Mipaka yetu ipo salama. Hatuna haja ya ku recruit Wanajeshi ambao hawana kazi. Narudia tena.

Hao JKT wakimaliza mikataba yao Waendelee na maisha mtaani. Kwani vijana wengine wanaishije?? Warudi mtaani waganye ujasiriamali.
 
Wanazo mzee kuna waasibu kule kuna wagavi kule kuna wahandisi kule kuna watu wa umeme kule madereva ila JW wao wamekalia Afya tuu sasa iyo afya bila watu wengine itaenda kweli kila kitu kina umuhimu wake wangaliwe wale watoto wametoboa mikataba inaisha Ajira awana wao wanaenda chukua watu wengine waifute bac iyo jkt mana haina mana....
Wengi wao humu hawajuhi bro inaumiza sana ila basi tu ila ipo cku.
 
Jeshi lingekuwa productive lisingekuwa na Budget serikalini. Tena budget ya jeshi inapita kimya kimya bila mbwembwe za kambi ya upinzani wala chama Tawala.

By the way unataka niwe kwenysystem gani ndo tuende sawa??.

Wewe unadhani Wanajeshi au jeshi linapenda kwenda huko Darfur, Lebanon, DRC kwenye vita ambazo hata historia zake hawazijui wala hawana maslahi na iyo vita???

Hiyo ni mikataba ya UN. Kama umekubali kuwa member country wa UN, once ukiombwa Wanajeshi wa kulinda amani lazima uwatoe.

Jeshi linatumia mamilion ya pesa Kutrain wanajeshi kwa ajili ya kulinda nchi yetu na sio kwenda kupeleka wanajeshi wetu wakafe ndo tupate pesa. ( Iyo Idea yako ni ya kipumbavu kuwai tokea)

Tanzania hatuna vita na nchi yoyote. Mipaka yetu ipo salama. Hatuna haja ya ku recruit Wanajeshi ambao hawana kazi. Narudia tena.

Hao JKT wakimaliza mikataba yao Waendelee na maisha mtaani. Kwani vijana wengine wanaishije?? Warudi mtaani waganye ujasiriamali.
Kuna kuna wizara au taasisi ambayo serikalini ambayo ni productive ila haina budget kwnye serikali??? unavyosema jeshi sio productive ndomana ina budget ngoja nikwambie kitu wewe ujui kitu..

Kumbuka serikali yetu kama serikali sio productive kivipi sisi sio productive economy tupo kwny taxisation economy sasa unavyosema hivyo unakosea sana mbn wizara ya viwanda na biashara viba budget kama ni productive ww jamaa ujui nn unachongea na ndomana nikasema bora ukae kimya tuu.

Ujui madhara ya hawa watoto wakirudi kitaani ujui ww eti ndomana budget ya jesh aisomi aisomwi ndio kwa sababu wanajua umuhimu wake pia unavyosema nchi aina vita akuna haja ya kuajiri unakosea sana kumbuka vita inaweza kutokea mda wowote ule ni muhimu kuwa na askari wa kutosha Na ndomaa kukawa na JKT uoni umuhimu wa akari saizi sababu akuna vita ngoja vita vitokee..ndo maana

Kusu UN askari wetu unazani wanaenda kule bure ww jamaa ujui kitu ungekuwa unajua usingesema hivyo you know nothing...
 
Ivi unajua Jwtz kwa mwaka wanastaafu askari wangapi???sio maafisa nasemea Askari,kwa taarifa yako kwa mwaka wanastaafu askari zaidi ya 7000 upo....Sasa uoni kama nchi inakuwa na uhaba wa askari ww unazani walioanzisha jkt ni wajinga kwamba maskaa wachukuliwe kupitia jkt ni wajinga???ndio mkataba ausemi wajiriwe ila sio kwamba watu wasiajiriwe ukisema ivyo unakosea wale watoto lazima wajiriwe ili nchi yetu tuwe na askari wa kutosha sasa kama kwa mwaka wanastaafu askari 7000 kuna shida gani ukitenga bilion 2 au 3 kuajiri askari jeshi japo hata 5000 kwa mwaka kuna shida gani tatizo sio ajira tatizo nchi inatakiwa iwe na askari wa kutosha ili ulinzi uimalike vzr mipakani....kustaafu kwa askaari 7000 kwa mwaka sio masihara mana kumbuka kila mwaka lazima intake moja au mbili zistaafu za jeshi upo hapo.....najua kuna askari wengine uongezewa mikataba ila aizidi miaka 2......leo askari alie anza jeshi miaka ya 1985 hayupo jeshini kesha staafu mda 85 mbali alie anza miaka ya 88 tu leo jeshini ni mstaafu kwaiyo unapo ongea uwe unafanya na tafiti sio kusema tuu eti warudi nyumbani kurudisha watoto wa jkt 8000 ni wengi sana hawa kwann tusiwajiri wawe maskari wailinde nchi yetu....

 
Kuna kuna wizara au taasisi ambayo serikalini ambayo ni productive ila haina budget kwnye serikali??? unavyosema jeshi sio productive ndomana ina budget ngoja nikwambie kitu wewe ujui kitu..

Kumbuka serikali yetu kama serikali sio productive kivipi sisi sio productive economy tupo kwny taxisation economy sasa unavyosema hivyo unakosea sana mbn wizara ya viwanda na biashara viba budget kama ni productive ww jamaa ujui nn unachongea na ndomana nikasema bora ukae kimya tuu.

Ujui madhara ya hawa watoto wakirudi kitaani ujui ww eti ndomana budget ya jesh aisomi aisomwi ndio kwa sababu wanajua umuhimu wake pia unavyosema nchi aina vita akuna haja ya kuajiri unakosea sana kumbuka vita inaweza kutokea mda wowote ule ni muhimu kuwa na askari wa kutosha Na ndomaa kukawa na JKT uoni umuhimu wa akari saizi sababu akuna vita ngoja vita vitokee..ndo maana

Kusu UN askari wetu unazani wanaenda kule bure ww jamaa ujui kitu ungekuwa unajua usingesema hivyo you know nothing...
Kwani mkataba wao unasemaje? Nafikir tuanzie hapa kwanza,
 
Kuna kuna wizara au taasisi ambayo serikalini ambayo ni productive ila haina budget kwnye serikali??? unavyosema jeshi sio productive ndomana ina budget ngoja nikwambie kitu wewe ujui kitu..

Kumbuka serikali yetu kama serikali sio productive kivipi sisi sio productive economy tupo kwny taxisation economy sasa unavyosema hivyo unakosea sana mbn wizara ya viwanda na biashara viba budget kama ni productive ww jamaa ujui nn unachongea na ndomana nikasema bora ukae kimya tuu.

Ujui madhara ya hawa watoto wakirudi kitaani ujui ww eti ndomana budget ya jesh aisomi aisomwi ndio kwa sababu wanajua umuhimu wake pia unavyosema nchi aina vita akuna haja ya kuajiri unakosea sana kumbuka vita inaweza kutokea mda wowote ule ni muhimu kuwa na askari wa kutosha Na ndomaa kukawa na JKT uoni umuhimu wa akari saizi sababu akuna vita ngoja vita vitokee..ndo maana

Kusu UN askari wetu unazani wanaenda kule bure ww jamaa ujui kitu ungekuwa unajua usingesema hivyo you know nothing...
Zipo Taasisi kibao kama hujui ambazo zinatengeneza pesa ya kufa mtu na chenji wanapeleka serikalini. Ref. Tanapa, Ngorongoro na nyingine. Ngorongoro wanalipa wafanyakazi wake na kufanya manunuzi yao wao na pesa ikibaki baada ya mwaka wa fedha kuisha wanapeleka chenji serikalini we unataka kusema nini. Narudia tena Jeshi sio productive.

Huwezi ukasema jeshi/ Taasisi ni productive wakati izalisha 20% inapewa 80% ili ifanikishe malengo yake. Iyo productivity unayo izungumzia ni ipi?????

Productivity ya jeshi ni Mipaka ya nchi yetu kuwa salama tuu. As long as tuna usalama hapo ndo jeshi lina perform 100%

Narudia tena, hakuna haja ya kuajiri wanajeshi kama hakuna uhitaji. Unataka kusema ww ndo unajua uhitaji sana wa Jeshi kuliko wao wenyewe? Wewe unadhani kuwa na wanajeshi wengi ndo kushida vita??

Jifunze uchumi broo. Hii dunia nyingine sio ile analogy. Kila kitu kinafanyiwa optimization. Sababu kuna scarcity ya resources. Kama wananchi mmoja mmoja wanapunguza Matumizi kwann serikali i over spend??

Serikali pesa zake zote zinaishia kwenye Standard gauge na Stieglas gouge. Vitu ambavyo havina priority havina nafasi.
 
Bwana weeeee izo statistics za kazi gani?? Kama jeshi lina uhitaji wa watu lazima ajira zitangazwe. Is a simple logic. Kama hakuna uhitaji anira Noo.

Wewe unaona Serikali inapigana kubana matumizi, ww unalazimisha serikali iajiri watu ambao ni un productive hawaingizi hela yoyote zaidi ya kupokea Mishahara tuuu.

Kwanza hatuna Vita, Mipaka yetu ipo salama. Wanajeshi wa kazi gani???

Once serikali ikiona kuna uhitaji itaajiri according to capacity. Sio kuajiri kwa mazoea tu.

Hata ww unakunywa maji ukiwa na kiu. ndo maana hunywi maji muda wote.

Jeshi limegundua lina upungufu wa wahudumu wa Afya limeamua kuajiri hao. Sasa ww unasema kuna ma injinia, wahasibu, wagavi, nani kasema jeshi lina upungufu wa izo fani????

Once wakiwa na upungufu utaona wanatangaza ajira.

Haihitaji akili kubwa kuelewa ninacho sema
Nanukuu KWANZA HATUNA VITA MIPAKA YETU IPO SALAMA WANAJESHI WA KAZI GANI , sababu tuna wanajeshi wengi na imara ndo mana tupo salama sasa jeshi lisipo ongezeka tutakuaje salama kwanini wengine wasiwe salama sisi tuwe salama? Ni kwaajili ya jeshi letu. Ila ww unasema tunaamani wanajeshi wa kazi gani na haujui kuna watu wanakufa wengine wanateseka sasa ili sisi tuishi kwa amani.
 
Bwana weeeee izo statistics za kazi gani?? Kama jeshi lina uhitaji wa watu lazima ajira zitangazwe. Is a simple logic. Kama hakuna uhitaji anira Noo.

Wewe unaona Serikali inapigana kubana matumizi, ww unalazimisha serikali iajiri watu ambao ni un productive hawaingizi hela yoyote zaidi ya kupokea Mishahara tuuu.

Kwanza hatuna Vita, Mipaka yetu ipo salama. Wanajeshi wa kazi gani???

Once serikali ikiona kuna uhitaji itaajiri according to capacity. Sio kuajiri kwa mazoea tu.

Hata ww unakunywa maji ukiwa na kiu. ndo maana hunywi maji muda wote.

Jeshi limegundua lina upungufu wa wahudumu wa Afya limeamua kuajiri hao. Sasa ww unasema kuna ma injinia, wahasibu, wagavi, nani kasema jeshi lina upungufu wa izo fani????

Once wakiwa na upungufu utaona wanatangaza ajira.

Haihitaji akili kubwa kuelewa ninacho sema
Uncle uko vizuli napenda sana kufanya kazi na watu wenye IQ kama yako mkuu
 
Kuna hili neno UHITAJI WA JESHI, aisee ukilielewa hili hautapata shida kuhusu ajira za jeshi na hapo utafaham kuwa watu watachukuliwa kulingana na uhitaji uliopo basi.
 
interviw unaulizwa maswali tuu ww nani kwann unataka jiunga na jeshi maswali ya kawaida tuu ni marahisi sana tena kwa kingereza ni marahisi..m
Sio kujiunga na jeshi mkuu, ni kuajliiwa na jeshi taaluma ile ile ya afya na sio kua askar wa jwtz elewa
 
Back
Top Bottom