JKT 2018 updates

JKT imekuwa nyoso, watu wamejenga ukuta na wanasugua gaga. Dhana ni kujitolea sio lazima kupata ajira.. Ova.
 
Waliongezewa mwezi mmoja hadi tarehe 5 Januari 2019.
Kuongezewa tarehe kuna maana IPI hasa?

1.kuna probability ya kupewa ulaji vikos vya ulinzi?

2.wanasabur jkt ipewe nauli za kuwarudisha kwako?

3.kuna kozi bado hawajamaliza ndo wako hatua za mwsho mwsho?

4.Hawataman kuwaona wanaondoka kwakua ndio nguv kazi yao walioizoea?

5.wanamalizia kukabidhi vifaa vya jeshi, kusainishana na kupeana mkono wa kwaheri ya kuonana?

MY FACT, hakuna haja ya kuwachelewesha vijana wetu huko makambini hali ile hakuna issue ya maana, ni bora wawaruhusu tu wajiondokee mapema wawahi kazi za ulinzi huku au wawahi msimu wa nvua huko vijijin kulimA.
 
Kuongezewa tarehe kuna maana IPI hasa?

1.kuna probability ya kupewa ulaji vikos vya ulinzi?

2.wanasabur jkt ipewe nauli za kuwarudisha kwako?

3.kuna kozi bado hawajamaliza ndo wako hatua za mwsho mwsho?

4.Hawataman kuwaona wanaondoka kwakua ndio nguv kazi yao walioizoea?

5.wanamalizia kukabidhi vifaa vya jeshi, kusainishana na kupeana mkono wa kwaheri ya kuonana?

MY FACT, hakuna haja ya kuwachelewesha vijana wetu huko makambini hali ile hakuna issue ya maana, ni bora wawaruhusu tu wajiondokee mapema wawahi kazi za ulinzi huku au wawahi msimu wa nvua huko vijijin kulimA.
Wanasubiri vyeti vya kuhitimu JKT ndugu yangu, mambo ni magumu sana miaka hii ya jiwe.
 
Back
Top Bottom