Recent content by waltz

  1. W

    Nimempenda baba yake zaidi

    Huoni kwamba unagombanisha familia? Kama baba atakuoa, unadhani mtoto wake atawaelewa? Na utaishi maisha gani kama kutakua na vita? Huo si ndio mwanzo was kuanza kugawa kwa wote ili kubalansi mambo? Baki na kijana. Wanaume unaoweza kuwapenda ni wengi na bado utakutana nao! Je , utakua...
  2. W

    Itel s31 inafaa?

    Inauzwa shilling ngapi?
  3. W

    Ni kweli Dr. Vicent Mashinji anaweza vaa viatu vya Dr. Slaa? Ni chaguo sahihi?

    Mimi nadhani tumpe muda. Dr. Slaa hakujulikana kabla ya kuja CHADEMA. Hii ina maanisha kwamba wako watu wengi wenye uwezo wanaohitaji nafasi kudhihirisha uwezo wao. Mboe naona kafanya vyema. Kwanza alihitajika msomi mwenye uwezo ili kuweza ku 'accommodate' makundi yote ndani ya chama. Chama sasa...
  4. W

    Pendekezo: Katibu mkuu wa CHADEMA awe Benson Kigaila

    Lwaitama angeweza kufaa ila hatujajua uwezo wake wa kiutawala, hi managemen ability and skills. Napendekeza John Heche. Huyu ndugu alifanya kazi nzuri sana alipokuwa BAVICHA. Akirudi ataweza kuwasaidia ingawa kunaweza kutokea muingiliano wa hapa na pale kutokana na yeye kukaa katika ofisi hiyo...
  5. W

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Hivi UKAWA ni makubaliano kichama au mtu mmoja/Mwenyekiti?
  6. W

    Waziri Mkuu Pinda kasusa ofisi

    Nampa pole. Watanzania bado tunasafari ndefu ya kuweza kusimamia kile tunachokiamini na ndo maana ni vigumu sana kupata viongozi thabiti. Mzee alipaswa awe amekwishajiuzulu kwani kiuhalisia hakuna mazingira rafiki tena ya kiutendaji kati yake na mzee wa nchi. Sijui anapoeaje maagizo ya mkuu. Ila...
Back
Top Bottom