Recent content by Walter Mollel

  1. W

    Nafasi pccb link hapa

    niliambatanisha kila kitu ila sijaitwa ninachokifikiria huenda walifocus course fulani lakini hata hivyo walitakiwa kuwa wazi...
  2. W

    Bungeni: Shibuda aipasha CCM na Serikali yake!!

    showing gratitude when good things happen, no matter how small they might appear to be, is the only way forward to attract more great things to happen in life.
  3. W

    Maziko ya Wakili Nyaga Mawalla na Kanusho la Wizara ya Maliasili

    bora amezikiwa nairobi, nahisi hapo watakuwa wamepunguza gharama coz najua kitu kingefanyikia marangu hapo ingekuwa sherehe watu wangekunywa sana na kula sana tena isitoshe marehemu alikuwa bilionea usingepimia
  4. W

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    kinyanyiko kisarawe,nanguruwe kagera:target:
  5. W

    Kwa wale waliopata kazi ya sensa malipo ni.......

    yaani nimepangwa dodoso fupi...ninavyoisubiri si mchezo!
  6. W

    Lazima Ucheke

    point of correction,siyo collection ni correction
  7. W

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mwisho wa serikali ya magamba ni 2015
  8. W

    Arusha: Madiwani waliotimuliwa na CHADEMA wabwagwa mahakamani!

    Waziri mkuchika ni kibaraka wa ccm! Yupo pale kulinda maslahi ya chama kilichompa uwaziri ndio maana alikuwa anapingana na tendwa! Kwa uamuzi huu wa mahakama ni wazi kuwa bwana mkuchika ameaibika! Kama vipi ajiuzulu kuonesha uwajibikaji
Back
Top Bottom