showing gratitude when good things happen, no matter how small they might appear to be, is the only way forward to attract more great things to happen in life.
bora amezikiwa nairobi, nahisi hapo watakuwa wamepunguza gharama coz najua kitu kingefanyikia marangu hapo ingekuwa sherehe watu wangekunywa sana na kula sana tena isitoshe marehemu alikuwa bilionea usingepimia
Waziri mkuchika ni kibaraka wa ccm! Yupo pale kulinda maslahi ya chama kilichompa uwaziri ndio maana alikuwa anapingana na tendwa! Kwa uamuzi huu wa mahakama ni wazi kuwa bwana mkuchika ameaibika! Kama vipi ajiuzulu kuonesha uwajibikaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.