mnailalmikia.suratul maida. nyie sio ahal kitab waliopewa kitabu hawasemi yesu ni mungu wala mwanawa mungu. hapohapo inasema kiumbe ambae hakuchinjwa kwajina la mwenyezimungu ni.nyamafu. halafu nyie mnachinja kwajina la yesu suratul maida 5,4 chinjen halafu juu ya mabucha yenu andikeni haramu...
unajua mtu usiropokwe namaneno sikuzote ulikuwa unakula nyama leo ndio unaona kama kunafunza. wakristo mnaonewa wapi wewe sema tu we nimshabiki. tokea umezaliwa viongozi wangapi na wakristo wameuliwa. wewe omba amani acha ushabiki waviongozi wadini huto fika ndugu yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.