Chadema inauwezo wa kuwa na ofs Bora; Ila viongozi wanaona Bora kuwa na ofs chakavu!! Kama njia ya kuaminisha uma kuwa sio wezi wa mali za serikal na pia hawana pesa, ili wananchi waweke taswira kuwa ata ccm inendelea kwa sababu wanatumia mali za serikal:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.