Recent content by wakwatito

  1. wakwatito

    Mambo ya kuzingatia kwenye utunzaji wa Kitovu cha Mtoto mchanga

    Nimahala gani sahihi pakutupa kitovu cha mtoto
  2. wakwatito

    Mambo ya kuzingatia kwenye utunzaji wa Kitovu cha Mtoto mchanga

    Na hili swala la mtoto akila kitovu kina simama akiwa hajala kina rudi ndani inakuaje na imekaaaje msaada katika hili
  3. wakwatito

    Nimeelewa kwanini unatakiwa kumheshimu mkeo sana

    SAWA MKUU TUENDELEE KUWA HESHIMU
  4. wakwatito

    Rais Samia afanya uteuzi. Katibu Mkuu Kiongozi ahamisha Vigogo 5 TANESCO

    yaaani inshu ya REA IMEKUWA SHIDA SANA ASE
  5. wakwatito

    Madhara Gani mjamzito huyapata akitoka na mwanaume ambaye sie aliyemtia mimba

    we unajisikiaje kumvulia mwanaume asiye wako haliyakuwa ni mjamzito
  6. wakwatito

    Madhara Gani mjamzito huyapata akitoka na mwanaume ambaye sie aliyemtia mimba

    okay ahsante ikitokea mtu anangangania kufanyiwa upasuaji kabla dokta hajasema kitu kitaalamu inakuaje hii mkuuu
  7. wakwatito

    Madhara Gani mjamzito huyapata akitoka na mwanaume ambaye sie aliyemtia mimba

    mambo vepe huenda hiii mada isha zungumza au bado ingawa nimejaribu kufatilia humu sijafanikiwa kama nilivyo anza pale kwenye title ni madhara gani mwanamke mjamzito anaya pata endapo kama ata date na mwanaume si mwenye ujauzito ule Ahsante
  8. wakwatito

    Ninafanya biashara ya kuchoma nyama, ila nyama leo imeharibika ushauri tafadhali nifanye nini?

    Mie nahusika na ujasiriamali mdogo mdogo na genge la nyama choma kila siku nimekuwa nachukua nyama jioni na kwenda nayo nyumbani na kuweka katika chombo kikubwa cha wazi nimekuwa nafanya hivi mara kwa mara. Ila leo nimekuta nyama inatoa wadudu nimemweleza anayenipaga nyama now kaniruka hataki...
  9. wakwatito

    𝐃𝐡𝐚𝐫𝐚𝐮 Z𝐚𝐤𝐨 Z𝐢𝐭𝐚𝐤𝐮𝐩𝐨𝐧𝐳𝐚 S𝐢𝐤𝐮 M𝐨𝐣𝐚

    Hebu Jifunze kumuheshimu kila mmoja pasipo Kujali umri au Cheo alichonacho kwasababu Unaweza ukahisi umefanikiwa Sana kwenye maisha yako lakini Kumbe bado mno nakwambia hivyo kwasababu hauwezi kufanikiwa katika kila kitu, 𝐌𝐚𝐟𝐚𝐧𝐢𝐤𝐢𝐨 𝐲𝐚 mtu huwa yanapimwa kwa namna kuu nne (4) Moja wapo ni Imani...
  10. wakwatito

    Wanaume tupo hivi

    [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123] Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom