wakwatito
Member
- Apr 15, 2018
- 30
- 49
Mie nahusika na ujasiriamali mdogo mdogo na genge la nyama choma kila siku nimekuwa nachukua nyama jioni na kwenda nayo nyumbani na kuweka katika chombo kikubwa cha wazi nimekuwa nafanya hivi mara kwa mara.
Ila leo nimekuta nyama inatoa wadudu nimemweleza anayenipaga nyama now kaniruka hataki hata kuona hasara nayo pata naombeni ushauri nichukue maamuzi yaapi maana hata pesa ya kufanyia leo kazi sina jana yote nimempa.
Ahsante
Ila leo nimekuta nyama inatoa wadudu nimemweleza anayenipaga nyama now kaniruka hataki hata kuona hasara nayo pata naombeni ushauri nichukue maamuzi yaapi maana hata pesa ya kufanyia leo kazi sina jana yote nimempa.
Ahsante