Jamaa yuko sawa, mkeka wa karatasi huo na barcode zake hizo hapo, unaweza ingia galsport kucheck slip ukaingiza hizo barcode ikauleta huo mkeka kama ulivyo. Sio lazima ku-login. Ila mwamba aliyebet kaubet kibabe sana.
Samsung galaxy M31
Storage: 128GB
Ram: 6GB
Camera kali mno: 64 megapixel main, 32 megapixel front
Battery: 6000mAh (inakaa na charge mpaka inakera)
Coluor: Dark Blue
Condition: Excelent/Almost New
Bei: 350,000/= fixed
Location: Mwanza Ilemela
Ni ya kwangu mwenyewe ninaitumia, haina magumashi...
Samsung galaxy M31
Storage: 128GB
Ram: 6GB
Camera kali mno: 64 megapixel main, 32 megapixel front
Battery: 6000mAh (inakaa na charge mpaka inakera)
Coluor: Dark Blue
Condition: Excelent/Almost New
Bei: 350,000/= fixed
Location: Mwanza Ilemela
Ni ya kwangu mwenyewe ninaitumia, haina magumashi...
Kwahiyo unamaana kwamba cheti kipo teyari isipokuwa tu sikumkuta mgawaji? maana nilikuwa na wasiwasi kana kwamba kuna procedure nyingine za kupotezeana muda.
3 weeks ago nilipoteza birth certificate sasa nilipoenda HEADQUARTERS wakaniambia nikachukue loss report polisi, baada ya kufanya hivo niliwapelekea hiyo loss report then wakanipa form ya kuzaja details zangu zote. Japo nilihaso haso kutokana na sijui niseme ni ukosefu wa umakini au ni kutokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.