Hivi hawa RITA wamekuwaje sikuhizi, kwa aliyewahi kwenda hebu tueleweshane hapa inakuwaje

Nov 10, 2015
40
10
3 weeks ago nilipoteza birth certificate sasa nilipoenda HEADQUARTERS wakaniambia nikachukue loss report polisi, baada ya kufanya hivo niliwapelekea hiyo loss report then wakanipa form ya kuzaja details zangu zote. Japo nilihaso haso kutokana na sijui niseme ni ukosefu wa umakini au ni kutokuwa na mood ya kazi kwa wale customer care pale vizazi na vifo manake wananata sana yani unamkuta kijana wa kiume pale unamuuliza ananata kama demu nikajiuliza huyu atakuwa ni shoga au vipi! Anakupa maelekezo nusu nusu mpaka umuulize mara mbili mbili mf. Anakwambia ukalipie bank afu uje na risiti na hakwambii ni bank gani na ni acc number ipi then hapo hapo anaendelea na mteja mwingine yani anawapa majibu ya shortcut sana kana kwamba halipwi mshahara sijui.
Anyway sasa baada ya kumaliza vyote hivyo ambapo ilinichukua siku 2 na kusubmit form yao wakaniambia niende tarehe 27 meaning that ni baada ya week mbili from that moment so nikajitune kwamba sikuhiyo ndio cheti kitakuwa teyari na ndo naenda kukichukua. Sasa leo nimeenda saa 6 mchana cha ajabu nikamkuta kijana yule yule akaniuliza umezaliwa hospital gani nikamtajia cha ajabu akaniambia eti nimechelewa kuna officer anakaaga pale "kwa kunionesha" ameshaondoka ambapo ndie anayetafuta sijui kwenye database maana ile risiti yao niliyokuwa nayo ilikuwa imeandikwa "search afu ikifuatiwa na jina langu la kwanza" so akaniambia kesho njoo kabla ya saa 6.

Samahani wandugu ninachotaka kujua ni hizi taratibu zao maana leo nilienda nikijua 2 weeks are gone so napewa cheti ila nakutana na maswali ya sijui ulizaliwa hospital gani tena wakati nilishajaza kwenye form, sasa na huyo mtu nilieambiwa wa kutafuta mafaili sijui ndo sijaelewa ni kwamba anafanya searching ya jina langu kule nilikozaliwa au ni searching ya cheti kipya ambacho kipo kimeshatengenezwa teyari. Hebu kwa anayejua anijuze huu utaratibu unakuwaje maana isijekuwa ndo habari ya kusoteshana tena wakati wiki 2 zilishaisha.
 
Mkuu hapo kwenye "ulizaliwa hospital gani" yupo sawa kabisa bcoz kila kundi linachukua cheti sehemu yake.
Kwa mfano umezaliwa Amana hospital inamaana kwamba wewe utachukulia cheti chako kwenye dawati la Ilala,ni hivyo hivyo wa Temeke na Kinondoni,as well wa mikoani pia!
 
Mkuu hapo kwenye "ulizaliwa hospital gani" yupo sawa kabisa bcoz kila kundi linachukua cheti sehemu yake.
Kwa mfano umezaliwa Amana hospital inamaana kwamba wewe utachukulia cheti chako kwenye dawati la Ilala,ni hivyo hivyo wa Temeke na Kinondoni,as well wa mikoani pia!
uko sahihi but kumbuka uyo mbulula hapo reception hatoi full information cjui anatengeneza mazingira ya kitu kidogo? dawa yao ukiona wanakuzengua omba kuonana na mkubwa wao straight ukiwafatisha sana utapoteza muda sana
 
uko sahihi but kumbuka uyo mbulula hapo reception hatoi full information cjui anatengeneza mazingira ya kitu kidogo? dawa yao ukiona wanakuzengua omba kuonana na mkubwa wao straight ukiwafatisha sana utapoteza muda sana
Fanya kitu kimoja mkuu..we ukifika pale RITA usipate Sana tabu,kuna wale vijana wa Suma JKT ni wastaarabu sana,we waulize tu watakuelekeza kila kitu mkuu.
 
Mkuu hapo kwenye "ulizaliwa hospital gani" yupo sawa kabisa bcoz kila kundi linachukua cheti sehemu yake.
Kwa mfano umezaliwa Amana hospital inamaana kwamba wewe utachukulia cheti chako kwenye dawati la Ilala,ni hivyo hivyo wa Temeke na Kinondoni,as well wa mikoani pia!
Kwahiyo unamaana kwamba cheti kipo teyari isipokuwa tu sikumkuta mgawaji? maana nilikuwa na wasiwasi kana kwamba kuna procedure nyingine za kupotezeana muda.
 
Wale customer care pale wana njaa kali sana mithili ya mtu mwenye umande wa kugegeda/kugegedwa kwa miaka 10, nilishawahi kwenda pale kubadili jina nikamkuta mrembo sasa akawa anadelay kinoma na kunambia habari zisizoeleweka. Nilichofanya ni kupeana number kisirisiri pale pale maana walikuwa wengi then nikamrecharge tigo pesa pale pale na mambo yangu yaliisha fasta siku ile ile. Ila yule mrembo sikumwacha hivihivi nilikuja kumtafuta nakumtafuna kiulaini sana.
 
Wale customer care pale wana njaa kali sana mithili ya mtu mwenye umande wa kugegeda/kugegedwa kwa miaka 10, nilishawahi kwenda pale kubadili jina nikamkuta mrembo sasa akawa anadelay kinoma na kunambia habari zisizoeleweka. Nilichofanya ni kupeana number kisirisiri pale pale maana walikuwa wengi then nikamrecharge tigo pesa pale pale na mambo yangu yaliisha fasta siku ile ile. Ila yule mrembo sikumwacha hivihivi nilikuja kumtafuta nakumtafuna kiulaini sana.
Namba yake hukuifuta boss?
 
Kwahiyo unamaana kwamba cheti kipo teyari isipokuwa tu sikumkuta mgawaji? maana nilikuwa na wasiwasi kana kwamba kuna procedure nyingine za kupotezeana muda.

Kaka hao jamaa sio hata kidogo, cheti utakipata lakini sio haraka kama walivyokwambia, ukifikamtena watakwambia wiki mbili, hizo wiki mbili zitaenda mpaka miezi miwili, na cheti kinakuja na makosa kibao, inabidi ujaze tena fomu za masahihisho na zoezi la wiki mbili linaanza tena, Mambo ya Rita hayataki haraka kabisa, pili ukipata cheti chako kikague sana ni wazembe mno kwenye kuandika
 
Back
Top Bottom