Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya chama katika jimbo la Peramiho linalongozwa na Mh Jenista John Muhagama amewaeleza wanachama na viongozi chama kuwa CCM imeanda mpango wa kuongoza dola kwa miaka 75 kuanzia mwaka 2025. Akizungumza...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametangaza kuwa siku kuu ya uhuru kitaifa iliyopaswa kufanyika mkoani Dodoma December mwaka huu haitakuwepo na badala yake fedha ambazo zingetumika kwenye sherehe hyo takriban 900mil zitajenga hospitali itakayoitwa Uhuru Hospital. Hospitali hyo itajengwa mkoani dodoma.
Inahamasisha sana hii thread, ukizingatia hali halisi ya vipato vyetu inavyoporomoka na ugumu wa kupata kazi mahususi za kifanya.
Count me in, on a serious note!
Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
Katika mgao wa TZS 3.1 Billion ambazo airtel wamegawa leo mim pamoja na kuwa mteja maarufu wa airtel mwenye miamala ya maana airtel money nimeambula shs 461 tu bila senti.
Airtel, acheni kutuchezea kisaikolojia ukizingatia kwamba gawio lenu ndio tegemeo la kuokoa jahazi kwa sasa baada ya...
Sijui Gambo anashindwa nini kuitisha vikao na wafanyabiashara, makampuni, watu binafsi ma wahisani wengine wengi waliopo Arusha then awaombe msaada wa kufanya ukarabati wa hospitali na matengenezo mengine mengi ambayo anaona inafaa. Naamini watatoa kama lengo ni kuleta maendeleo mkoani...LAKINI...
Bob Marley ana mafanikio mengi na amejiwekea heshima kubwa sana ulimwenguni. Theme ya nyimbo za Bob ni Liberation accross the world! Leo, Bob ni mfalme wa mziki wa Raggae, the same to Lucky Dubey, Alfa Brond, Spears na wengine wengi ambao wameshiriki kupigania uhuru na haki za wanyonge tena...
Gharama za kutumia miamala ya simu zinabadilika kila kukicha na hakuna taarifa kwa watumiaji. Kwa sasa ukituma 70,000 kwa tigopesa unakatwa 3,100, hapo kwanza kiwango kilikuwa chini sana nadhani 350 kwa mtumaji na mpokeaji ndio anakatwa zaidi wakati wa kutoa. Kwa sasa si mtumaji wala mpokeaji...
Uhakiki huu ni feki na matokea yake pia ni feki. Huwezi kusema unahakiki vyeti kwa upendeleo wa wazi na kujificha nyuma ya sheria za kizamani ili kulinda mtu au watu. I see no regitimacy of the report and actions taken thereof! Ni uonevu wa wanyonge...basi!
Bashite alienda clouds na mitutu na akatisha watu, hata hao askari wengine wanatumwa tuuu...hata sio kosa lake! No fasheni sasa hv kutishiana mitutu ya bunduki.
Watumishi wa umma wameishi kama malaika kwa mda mrefu. Wamesafiri sana safari za nje wakilipwa mamilioni na kujilimbikizia mali nyingi za kuliko vipato vyao. Wamekuwa na vipato vingi visivyo halali kiasi kwamba kwao ' laki si pesa'!
Kwa sababu hizo sasa, wakati umefika chama kinarudisha nidhamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.