Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya chama katika jimbo la Peramiho linalongozwa na Mh Jenista John Muhagama amewaeleza wanachama na viongozi chama kuwa CCM imeanda mpango wa kuongoza dola kwa miaka 75 kuanzia mwaka 2025. Akizungumza katika mkutano huo,
Polepole amesema kuwa baada ya Rais John Pombe Magufuli kumaliza muda wake mwaka 2025 kuna mpango ambao uko tayari wa vipindi vitatu vya miaka 25 yani 2025 - 2050, 2050- 2075 na 2075 - 2100 kwa CCM kuongoza na kwamba kama kuna mtu anatamani kuongoza nchi hii basi asubiri hadi mwaka 2100!
Source: TBC
Sent using Jamii Forums mobile app
Polepole amesema kuwa baada ya Rais John Pombe Magufuli kumaliza muda wake mwaka 2025 kuna mpango ambao uko tayari wa vipindi vitatu vya miaka 25 yani 2025 - 2050, 2050- 2075 na 2075 - 2100 kwa CCM kuongoza na kwamba kama kuna mtu anatamani kuongoza nchi hii basi asubiri hadi mwaka 2100!
Source: TBC
Sent using Jamii Forums mobile app