Recent content by wakulichomeka

  1. wakulichomeka

    Arusha: Aliyeua na kuondoka na kichwa cha mlinzi ni mlinzi mwenzake

    Hatar sana Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  2. wakulichomeka

    Umewahi kwenda kwa mganga wa kienyeji "Mtaalamu"? Ilikuwaje?

    Njoo in box nikupe ramani uende Congo Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  3. wakulichomeka

    Umewahi kwenda kwa mganga wa kienyeji "Mtaalamu"? Ilikuwaje?

    Hakuna watu wanao ongoza kwenda kwa waganga Kama WANAWAKE na viongozi Mimi nilikua na rafikiyangu mganga yani kunakiongozi ambao alikua anawashughulikia Mambo yao alikua akinitajia mpaka naogopa halafu kwenye uchaguzi alikua anawatengeneza wakishinda wanamletea ma smartphone kwakua jamaa alikua...
  4. wakulichomeka

    Angalizo kwa wanaotaka kuja kutafuta ajira Afrika Kusini

    Ila kunamtu alikua anasimlia simlizi ya huko alisema maisha ni magum Tena akasema usiombe ukutane na wabongo mateja yani watakulazimisha ujisaidie wapekue kinyesi waone Kama kunaunga ila alisema kua wabongo wanapendwa Sana na madem wa south Africa sijui nikweli Sent from my TECNO B1f using...
  5. wakulichomeka

    Makinika! Sio kila changu ni binadamu

    Kunajamaa aliopoa Dem baada yakumaliza kufanya yake Dem akageuka akawa dume hafu akamwambia namimi nataka jamaa alizimia hayo Mambo yapo Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  6. wakulichomeka

    Maisha ya Babu wa Loliondo(Ambilikile Mwasapile) kwa sasa

    Babu alitumia akili nyingine sipati picha angetokea kipindi hiki Cha korona angezisanya sana Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  7. wakulichomeka

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Merrdianbet,parmatch,pmbet hizo ndo App nzuri za betting nazina option kibao Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  8. wakulichomeka

    TANZIA Rubani aliyetorosha ndege baada ya kuvunjika EAC, Captain Narzis Mapunda afariki dunia

    Mzalendo wa kweli Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  9. wakulichomeka

    Nini kifanyike kupunguza tatizo kubwa la ajira Tanzania?

    Wasomi ni wengi ajira ni chache cha kufanya ni watu kuwa wabunifu badala ya kubweteka jiingize hata kwenye ujasiriamali. Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  10. wakulichomeka

    Kwa tuhuma alizonazo Ole Sabaya, anaweza akakimbia nchi, awekwe chini ya ulinzi

    Nadhani sheria itafuata mkondo Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  11. wakulichomeka

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hatar [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  12. wakulichomeka

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hahaha Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  13. wakulichomeka

    Ndugai ni Spika asiye na sifa za kuwa spika

    Kati ya watu wenyemaono huyo jamaa anamaono acha tuone Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
  14. wakulichomeka

    Biashara ya dawa za kulevya kurejea kwa kasi? Watanzania 2 wakamatwa na Cocaine kilo 2 tumboni Uwanja wa ndege wa Mumbai

    Mchungaji kalala hapo lazima ng'ombe na mbuzi wajiachie kwenyemashamba tutaludi kulekule vijana kuhalibika na kupoteza nguvu kazi ya taifa. Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom