kichwapanzi natamani nikuone jamani kweli malipo ni duniani nikikumbuka alivyorudisha nyuma harakati za mabadiliko nimeamini mungu analipa kwa wakati hii story ni kama ya daudi na goliati mange anastaili alichokipata
ya ni jipu asa kuna mtu yeye na mume wake wote ni watumishi wana watoto wa 2 kwa hiyo wote yanatumia bima ya mwanaume cause ni green card ya mwanamke hajamsajili mtu ata mmoja na wanamkata lkn ata house girl wamekataa asimuweke je c ufisadi akaomba ajitoe wakasema haiwezekani
da ni uonevu watoe usafiri wa watumishi public transport zinasimama kila kituo mtu katoka mbweni SAA 11 asubuhi it means atafika kuanzia moja na nusu hapo aliamka SAA kumi kujiandaa.
sasa mwisho wa hizi dhuluma ni nini?nani atatusaidia dhidi ya hawa wenye nchi,maana sitashangaa shein akatangazwa rais na maisha yakaendelea kama ilivyofanyika bara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.