Recent content by wakorawaitu

  1. W

    Nina wasiwasi na NACTE

    me pia nimeandikiwa hivyo so nipo njia panda tusaidieni please.
  2. W

    Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

    kichwapanzi natamani nikuone jamani kweli malipo ni duniani nikikumbuka alivyorudisha nyuma harakati za mabadiliko nimeamini mungu analipa kwa wakati hii story ni kama ya daudi na goliati mange anastaili alichokipata
  3. W

    NHIF na ubaguzi wa wategemezi

    ya ni jipu asa kuna mtu yeye na mume wake wote ni watumishi wana watoto wa 2 kwa hiyo wote yanatumia bima ya mwanaume cause ni green card ya mwanamke hajamsajili mtu ata mmoja na wanamkata lkn ata house girl wamekataa asimuweke je c ufisadi akaomba ajitoe wakasema haiwezekani
  4. W

    Wafanyakazi Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wafungiwa nje

    da ni uonevu watoe usafiri wa watumishi public transport zinasimama kila kituo mtu katoka mbweni SAA 11 asubuhi it means atafika kuanzia moja na nusu hapo aliamka SAA kumi kujiandaa.
  5. W

    Baba Lowassa, Sumaye na babu Kingunge sheria ni msumeno

    sasa lowassa na kikwete nani ameambulia aibu kwa hali ilivyo sasa?lowasa atabaki kuwa shujaa wao.
  6. W

    Siri ya baadhi ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya imefichuka, kumbe baadhi yao..

    mkuu kweli Fabian massawe angetufaa dar ni jembe sana.
  7. W

    Serikali kuondoa ajira za kudumu za umma, Juhudi na bidii ya mfanyakazi kazini kuamua hatma yake

    waangalie na masilai ya watumishi mshahara laki tatu,kodi ya nyumba,kusomesha watoto,nauli bado chakula
  8. W

    Sio haki, kikatiba kwa Dk Shein

    sasa mwisho wa hizi dhuluma ni nini?nani atatusaidia dhidi ya hawa wenye nchi,maana sitashangaa shein akatangazwa rais na maisha yakaendelea kama ilivyofanyika bara.
  9. W

    Hivi bunge la 11 ni bunge la Tanzania au Tanganyika?

    sasa kitambulisho cha kupigia kura kilikua kilekile kimoja au?
  10. W

    Nani alaumiwe kwa hili hapa Tanzania

    wananchi ndo tulaumiwe maana hawa viongozi wanacheza na akili zetu tu,
  11. W

    Mbowe na Lowassa yawezekana wakawa tatizo CHADEMA

    kama ni tatizo c uwaache wewe inakuuma nini?
  12. W

    Mdahalo ITV: Umuhimu wa Maadili katika kuimarisha Amani, Umoja na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu

    huyo HP amuulize zito alijiona maarufu mwishowe amepotea kisiasa sasa na yeye ndo yamemkuta.
  13. W

    Mama Lishe na Bodaboda Sumu haionjwi tumuogope Lowassa kama Ukoma

    ata kama anatudanganya mwache tu the point ni kuiondoa ccm madarakani wakishindwa miaka mitano c mingi tutairudisha tumechoka.
  14. W

    Hotuba za Lowassa kama ndio hizi, Kazi ipo

    wamasai sio waongeaji unazijua siasa za sokoine?
Back
Top Bottom