Baba Lowassa, Sumaye na babu Kingunge sheria ni msumeno

Baba Lowassa, Sumaye na babu Kingunge sheria ni msumeno

Uloi nga mâché68;14803108 said:
Huwa nawacheka sana Wasaliti wa CCM kina SUMAYE, KINGUNGE , MWAPACHU na wengi wao ambao waliamini CCM itashindwa na Lowassa atakuwa Rais wapewe vyeo! Hakika wameaibika sana! Sijui sura zao wataweka wapi? Wengine wanalipwa pensheni kibao kwa pesa za walipa kodi lakini bado walihadaiwa na LOWASSA kwamba atawapa Vyeo. AIBU SANA! WAMEUMBUKAAAA!

Bora kutokuwa na elimu kabisaaa kuliko kupata elimu kiduchu!
 
Uloi nga mâché68;14803214 said:
Toa ushahidi namna ulivyoibiwa kura ingawa najua hukupiga hata kura yenyewe!
kura fake kukamatwa kila sehemu tena jina la mapadlock ndiyo kapigiwa, Ni kiashiria cha....
 
Stori za kwenye vijiwe vya bodaboda hizo. Muulize mwenzako aliyezusha uwongo kuhusu CDF. Nawe tutakukamata utoe ushahidi wa hayo kama hutoiacha bodaboda na kurudi kwenu Moshi!
 
Uloi nga mâché68;14803229 said:
Stori za kwenye vijiwe vya bodaboda hizo. Muulize mwenzako aliyezusha uwongo kuhusu CDF. Nawe tutakukamata utoe ushahidi wa hayo kama hutoiacha bodaboda na kurudi kwenu Moshi!
Njoo unikamate acha kutapatapa, CCM MMEIBA KURA... At least kasi ya makomeo kidogo imenisuuza roho. Ila ukweli mmeiba kura
 
Ha ha eti ccm imeishiwa pumzi mala ooh nimeona vijana wengi wamechagua mabadiliko....zeee zima
 
Njoo unikamate acha kutapatapa, CCM MMEIBA KURA... At least kasi ya makomeo kidogo imenisuuza roho. Ila ukweli mmeiba kura

Haroo wew hujaenda kuhesabiwa? Ukawa wenzio wote wapo moshi saizi....
 
Uloi nga mâché68;14803108 said:
Huwa nawacheka sana Wasaliti wa CCM kina SUMAYE, KINGUNGE , MWAPACHU na wengi wao ambao waliamini CCM itashindwa na Lowassa atakuwa Rais wapewe vyeo! Hakika wameaibika sana! Sijui sura zao wataweka wapi? Wengine wanalipwa pensheni kibao kwa pesa za walipa kodi lakini bado walihadaiwa na LOWASSA kwamba atawapa Vyeo. AIBU SANA! WAMEUMBUKAAAA!

Hebu tuthibishie hili bwana mdogo
 
tuwashauri warudi kijijini wakachunge.

Pesa anayolipwa lowasa na sumaye kama mawaziri wakuu wastaafu babako haji kupata maisha yake yote asa hapo wa kurudi kijijini ni nani??????#samahanilakini
 
Nampenda lowasa, napenda vyama upinzani hata wangeweka jiwe ningelichagua ila CCM bado Sana, kihalali hamjashinda!!!kura mlizoiba zitawatokea puani Insha'Allah

Nadhani una matatizo makubwa sana, cc tulikuwa tunachagua kiongozi wakati huo ww unasema ungepigia hata jiwe, inawezekana ulipigia jiwe na cc wengine tulipigia mwadamu mwenzetu na ndo maana mwandamu alilishinda jiwe.
 
Hao ni wakutusaidia sisi tuliojichokea, hakuna hata mmoja kati yao tunaemfikia kimaisha, juzi tu Lowasa kawapa laki tano tano wale wachimbaji wadogo Apolo walionusurika kifo. hii thread ni ya mtu mwenye njaa ambaye maisha yamemshinda sasa ni chuki tu bila sababu, ati sisi ambao hatuitaki ccm jina letu ni wasaliti! haitokaa itoke tena milele kwa ccm kuipata kura yangu never over my dead body.

Pia wajue kwamba hata Magufuli aliuona moto kipindi cha kampeni na ndo maana kawachenchia anajua akilegea tu 2020 haina kuchakachua wala nn ni nje moja kwa zote
 
Nampenda lowasa, napenda vyama upinzani hata wangeweka jiwe ningelichagua ila CCM bado Sana, kihalali hamjashinda!!!kura mlizoiba zitawatokea puani Insha'Allah

Ndio maana mnaitwa nyumbu....ukishachagua jiwe halafu........!!
 
Uloi nga mâché68;14803108 said:
Huwa nawacheka sana Wasaliti wa CCM kina SUMAYE, KINGUNGE , MWAPACHU na wengi wao ambao waliamini CCM itashindwa na Lowassa atakuwa Rais wapewe vyeo! Hakika wameaibika sana! Sijui sura zao wataweka wapi? Wengine wanalipwa pensheni kibao kwa pesa za walipa kodi lakini bado walihadaiwa na LOWASSA kwamba atawapa Vyeo. AIBU SANA! WAMEUMBUKAAAA!

Walitekeleza haki yao ya kikatiba ya kujiunga na vyama mbali mbali vya siasa.
Ila kilichowaharibia ni kuzidisha madongo hadi wakajipiga wao wenyewe. Kauli zao za sasa zilipingana sana na walizotoa siku chache kabla wakati wakitafuta vyeo kupitia ccm kiasi cha kuonekana waongo na vigeugeu.

Kuhamia kwao upinzani ilikuwa kimaslahi ilhali wao bado ni wana ccm.
Msindai kazindua kampeni huko Singida kwa kuipigia kampeni ccm.
Lowassa naye kawapigia kampeni madiwani na wabunge wa ccm mara kadhaaa.
 
Wewe ni wa kupimwa akili, nenda ofisi ya msajili wa vyama vya siasa kaulize kazi za vyama kisha nenda mahakamani kawaulize kuna jinai ipi mtu kuhama ccm? kenge wewe.

Katika hao wote uliowataja huwapati kwa lolote kimaisha wewe na ukoo wenu wote, hata mbwa tu wa Lowasa ana maisha mazuri kuliko wewe mbumbumbu na zuzu wa kwanza.

Kwa lugha hii unayotumia ni dhahiri kuna tatizo Tanzania
 
Uloi nga mâché68;14803108 said:
Huwa nawacheka sana Wasaliti wa CCM kina SUMAYE, KINGUNGE , MWAPACHU na wengi wao ambao waliamini CCM itashindwa na Lowassa atakuwa Rais wapewe vyeo! Hakika wameaibika sana! Sijui sura zao wataweka wapi? Wengine wanalipwa pensheni kibao kwa pesa za walipa kodi lakini bado walihadaiwa na LOWASSA kwamba atawapa Vyeo. AIBU SANA! WAMEUMBUKAAAA!

You should be able to analyse matters in all spheres, there defects to opposition has credibility with figures. Take in consideration the amount of votes earned by UKAWA presidential candidate, despite of that also consider that amount of special seats and number of opposition members of parliament. Their mission in some content has been fulfilled, it was nt furnished at 100% but at least attained.
 
Kwa maaana nyingine mi nawapongeza vyama pinzani coz bila wao mpaka sasa sijui rais angekuwa nani????
 
sasa lowassa na kikwete nani ameambulia aibu kwa hali ilivyo sasa?lowasa atabaki kuwa shujaa wao.
 
Back
Top Bottom