Kitu anacho zungumza kiukweli kinasikitisha ukiangalia na HALI YA sasa.
Na sasa sio kwamba tuna nyufa hapana jumba limebomoka kabisaa,nawabomoaji wenyewe ni hawahawa sisiem.
KUNAUSEMI UNASEMA HIVI' CHENYE MWANZO HAKIKOSI MWISHO' NA MWISHO WA KUBOMOZI WAO UMEFIKA NA WAJENZI NI CDM TU
Mm nasema cdm tunaitegemea sana kuleta mabadiliko ndani ya taifa hili
hvyo maamuzi ya busara zaidi yachukuliwe kuleta matokeo mazuri kwenye ukanda huu wa siasa,Mhe.Tundu Lissu big up!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.