Sasa ZZK anasubiri nini? Aanzishe yeye kuchomoka, halafu wafuatie wale masalia kama walivyofuatana kuweka threads humu!
Mm nasema cdm tunaitegemea sana kuleta mabadiliko ndani ya taifa hili
hvyo maamuzi ya busara zaidi yachukuliwe kuleta matokeo mazuri kwenye ukanda huu wa siasa,Mhe.Tundu Lissu
big up!!!!
Huyu dogo mpumbavu, kuna siku pia alishasema eti chadema haiwezi kumfukuza yeye na ikabaki salama. Anajidanganya sana. Soon atamfuata kafulila wakaimarishe chauma yao.Alishasema Chadema inadamu yake,ina muda wake na ina gharama zake hivyo hatarajii kutoka leo wala kesho.
Hawa si kuwaacha kubaki chamani.Mimi nadhani wala wasifukuzwe,adhabu ya kuwatenga inawatosha sana.Wasaliti hawa kuanzia bosi wao mchawi wasishirikishwe kazi yoyote.
Dawa ya msaliti mhuni ni kumtenga tu.Wataondoka wenyewe mmojammoja kwa sababu hawatapata fursa yoyote ndani ya chama.
Eti huyo mkuu wao mchawi anataka Urais...nakuambia atausikia kwenye bomba.Tanzania ina watu wanaomwabudu Mungu kamwe hawataongozwa na vigagula.
Fumbua macho mkuu. "Yale yote ni mawazo ya mtu mmoja".Nimesoma maelezo ya JULIANA, BEN SAANANE na MTELA, inaonekana kama maelezo ya Juliana na Mtela yanafanana. Kwa busara waliyotumia Mkiti na Katibu mkuu kwa muda wote huo waitumie ili hawa wasaliti wajiondoe wenyewe bila kufukuzwa.
Wanabodi,
Ametoa kauli hiyo alipoulizwa na Mtangazaji wa ETV Kuhusu usaliti unaofanywa na Wanaoumbuliwa na Kamanda BEN Saanane. Amedai wanafanya hayo wamkimlenga Dr kwa Mapendo watanzania waliyo nayo anzia akiwa Mbunge wa Karatu na URAIS.
Hivyo kuna kundi linawatumia kwani linamwona Dr Slaa ni tishio linatumia fedha nyingi kuwapa wamwangamize. Akashukuru USALITI wao umebainika na chama kitawashulikia kwa mujibu wa taratibu bila kujali wao ni wakina nani.
Wazee wa PM7 Mmeshanipata?
Wana JF Habari ndiyo hiyo toka kwa Mnadhimu wa Kambi RASMI.
Changia maoni juu ya mtazamo wa kamanda Lissu dhidi ya wakina masalia or PM7, Hatua watakazochukuliwa.
Sasa ZZK anasubiri nini? Aanzishe yeye kuchomoka, halafu wafuatie wale masalia kama walivyofuatana kuweka threads humu!