Nakumbuka kuna wakati Nape ulikutanishwa na Mnyika na vijana wengine katika siasa za bongo katika kipindi cha "This week in perspective", hakika Mnyika alikufunika sana!. Discuss issues bila mipasho, watanzania wa karne angalau watawezakukuelewa, vinginevyo unakiathiri chama chako.
Siamini ninachokisoma hapa..kweli EL ana mkono mrefu. Nini alichonacho EL ambacho hakipatikani ndani ya CDM?. Huyu jamaa akiingia huko haya ni baadhi ya mambo ambayo hayatakwepeka
1. Dhambi ya makundi kushamiri ndani ua chama
2. Kutoweka kwa tofauti kati ya CDM na CCM katika kupiga vita rushwa...
Inasemekana zoezi la kuwapata wawakilishi wetu katika bunge la Afrika mashariki limegubikwa na rushwa kwa kiwango kikubwa kiasi cha kuleta wasiwasi juu ya uthabiti wa ushiriki wetu kama nchi katika bunge hilo lijalo.
Source: https://twitter.com/#!/zittokabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.