Aisee imakera sana ukizingatia bajet yako inagoma alafu unaacha kuwaza ni kwa namana gn utaiweka bajet yako sawa unawaza michango ya kadi 10.Duh kama hujajiandaa funga ndoa yako kimya kimya bn na c kutupa stress hapa
Aisee mi nakuonga mkono kuja na watoto ofisini nakereka,kila mtu akisema aje na mtoto wake ofcn hiyo ofc cjui itakuwa wodi tn mana.unakuta kikaoni kaja na mtoto wake anaanza kuita mamaaa kikao kinaendelea wanaboa hata cc tuna watoto lkn tunaheshim ofc na kazi bn
Asante kwa huo ushauri lkn kiukweli hana mke na wala hajaoa s'bu nilienda nikaonana na huyo m'ke na akanieleza vzr tu ukweli wote labda cha kufanya ni mm nimpotezee kwan ameshavunja uaminifu kwangu.
Nina mchumba ambaye nimekuja kugundua kuna m'ke mwenye watoto wa3 anaishi naye.Nikambana sn na kumweleza nimelifahamu kwa njia gn,alikataa badae akakubali na kuniomba msamaha na kuanza kunieleza kuwa yule ni m'ke tu anaishi naye na amemkuta na watoto wake na yuko tayari huho m'ke kumwambia...
Utoto unakusumbua na biology imepita pembeni. mwanamke anapokaribia kuingia kwenye siku zake kabla ya wk wengne siku 3 huwa na mabadiliko ya kimwili na hilo likiwemo na tofauti ni pale wengine kuzidiana kutokana na maumbile na badaye huisha na huanza cku zake mpka mzunguko mwngne tn,ila ukitoa...
Habari wana Jf? Mko ndani ya mahusiano na mwenzako,mkajikuta mkipiga story story siunajua tena mtu unapotaka kujua msimamo wa mwenzako, mara ukachomekea swali ukajibiwa hivi " sijawahi kufikiria kuoa na wala sina mpango wala wazo hilo". Nahitaji ushauri kutokana na jibu hilo.
Habari wana JF,poleni na majukumu ya kila cku.
Njia gani mwanaume anaweza tumia kuua mbegu asiweze kumpa mwanamke mimba? km wazuiavyo w'ke,je kwa m'me nayo inawezekana?
Madr fungukeni mnisaidie kufahamu hili.
Mh! ndo umeamua kwenda kuniombea ushauri Jf,we km unaona ni kero siuniteme tu kupunguza kero mpk uje Jf. Inaonekana wazi huna uhakika na mapenzi yako kwangu na ndo mana unakerekwa nami.Usijali najivua mi mwnyw mkaka.It's me ur no one
Hatujakataa kuwa hakuna mashoga wapo tn wengi km usemavyo ila tunachopinga hapa kuhidhinisha huo Ushoga,acha waendelee kulambwa uchochoroni hukohuko na barazani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.