Simwelewi,ushauri tafadhali

Wakanda2021

Member
Apr 27, 2013
70
8
Habari wana Jf? Mko ndani ya mahusiano na mwenzako,mkajikuta mkipiga story story siunajua tena mtu unapotaka kujua msimamo wa mwenzako, mara ukachomekea swali ukajibiwa hivi " sijawahi kufikiria kuoa na wala sina mpango wala wazo hilo". Nahitaji ushauri kutokana na jibu hilo.
 
Habari wana Jf? Mko ndani ya mahusiano na mwenzako,mkajikuta mkipiga story story siunajua tena mtu unapotaka kujua msimamo wa mwenzako, mara ukachomekea swali ukajibiwa hivi " sijawahi kufikiria kuoa na wala sina mpango wala wazo hilo". Nahitaji ushauri kutokana na jibu hilo.

mke au mume huwa haji tu,yaani eti umekaa akaja tu akakuoa au ukamuo?hiyo haipo.lazima ushawishi na utengeneze mazingira ya kuoa au kuolewa.u must pay the price to get what u want.nothing comes on a silver plate
 
mzuri sana huyo kasema ukweli wake wewe tu kichwa maji hutaki kumwelewa ila inabidi umwelewe.
Hapo ni kuchuna tu kwa kwenda mbele we chuna mchune weeeeee kama hachuniki au hana hela mtupe kuleeee ya nini kuwa na mahusiano yasiyokuwa na maisha au faida??matokeo yake mnaachana umri umeenda??huna ulichokivuna zaidi ya kukuacha na sugu na kei.
Haaaaaa inahusu embu shtuka chukua hatua bana!!!!
 
Ushauri wa nini na mambo yako wazi hapo; kama nia yako ni kuolewa basi kimbia faster kama uko tayari kuliwa na kuachwa basi hapo ndo mahala pake.
 
Wakati anakutongoza alikuahidi ndoa? Kama hukuahidiwa hilo mbona unaweweseka? Kama nia yako ni kuolewa mpe sababu ya kukuoa. Mchunguze nini anachopenda kama si kuhitaji kutoka kwa mpenzi n.k. Fanya yanayomfanya apagawe, hakika atatangaza NIA.
 
Alafu wanawake wanavyopenda kuolewa...... hahahahaah poleni...............
 
Dont expect too much, because that too much can hurt u a lot...
Siyo kila mtu anaanzisha relation na wewe anataka kukuoa.
Kesi nyingi za kuumizwa zinakuja coz of too much expectations.

i can say yes mkuu cuz imeshanitokea,niliumia sana cuz niliamua kumfanya huyo binadamu km sehemu ya maisha yng mwisho wa siku nikaonekana sina thamani mbele ya macho yake nikatupwa,yakafuatia maumivu makali na ugonjwa wa moyo kwa zaidi ya miezi miwili,siku zikaja siku zikaenda miezi na miaka sasa nimesahau,hivyo ata huyu nilie nae sitegemei makubwa sana kutoka kwake wala sijampenda km yule niliekuwa nae before kwa kuhofia maumivu tena,siunajua binadamu hawaeleweki?hivyo lazima tuwe na kiasi.
 
mke au mume huwa haji tu,yaani eti umekaa akaja tu akakuoa au ukamuo?hiyo haipo.lazima ushawishi na utengeneze mazingira ya kuoa au kuolewa.u must pay the price to get what u want.nothing comes on a silver plate

kwa hiyo unamshauri ampe tu mdau awekelee mjamaa akinogewa yeye mwenyewe atatangaza nia sio?
 
Kumwacha mtu unayempenda si swala jepesi....kama amesema hivyo na wewe una malengo naye tofauti....ni dhahiri huyo siyo mtu sahihi.....let him go mapema....kuliko yey akija kukuacha.....
 
Kama unamipango ya kuolewa itabidi ulogg off kama washawasha!
Kama huna mpango wa kuolewa usimwache huyo me! Anasema ukweli!
Anakula bata hadi kuku wanaona wivu!
So, akili kichwani mwako!
 
mzuri sana huyo kasema ukweli wake wewe tu kichwa maji hutaki kumwelewa ila inabidi umwelewe.
Hapo ni kuchuna tu kwa kwenda mbele we chuna mchune weeeeee kama hachuniki au hana hela mtupe kuleeee ya nini kuwa na mahusiano yasiyokuwa na maisha au faida??matokeo yake mnaachana umri umeenda??huna ulichokivuna zaidi ya kukuacha na sugu na kei.
Haaaaaa inahusu embu shtuka chukua hatua bana!!!!

Chuna sana matokeo yake unaambulia mgeni aloimbwa na captain Komba
 
Ukishaambiwa hivo unafanya mkakati wa kuondoka...tena kwa spidi uache vumbi tu:smile-big:
 
Back
Top Bottom